Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda kama hutaki kutembelewa na wageni kutoka mikoani ambao wenye uwezekano wa kulala kwako
Mkuu tatizo ni uwezo, kibongo bongo kutokana na uchumi wa mtu mmoja mmoja kutoruhusu kumiliki nyumba kubwa wengi wamechagua style hii ya ujenzi, master bedroom chumba cha watoto wa kike na chumba cha watoto wa kiume bora familia yake ijisitiri ila kama mtu uwezo unao siyo mbaya nyumba yako kuwa na vyumba kuanzia vitano+ ili kukamilisha mahitaji yote.Labda kama hutaki kutembelewa na wageni kutoka mikoani ambao wenye uwezekano wa kulala kwako
Ukitaka nyumba iwe nzuri na vyumba vingi atleast uweke floor moja juu.Vyumba vichache sana
Yani mtu anajenga ukumbi wa kukaa na ukumbi wa kulia cjakula alafu anasema nyumba za kimasikini anashindwa kujenga vyumba vinne.Mkuu tatizo ni uwezo,kibongo bongo kutokana na uchumi wa mtu mmoja mmoja kutoruhusu kumiliki nyumba kubwa wengi wamechagua style hii ya ujenzi,master bedroom chumba cha watoto wa kike na chumba cha watoto wa kiume bora familia yake ijisitiri ila kama mtu uwezo unao siyo mbaya nyumba yako kuwa na vyumba kuanzia vitano+ ili kukamilisha mahitaji yote.
Mimi naamini kuwa na nyumba yenye vyumba vingi inasababisha kuvutia wategemezi wasio wa lazima.Mkuu tatizo ni uwezo,kibongo bongo kutokana na uchumi wa mtu mmoja mmoja kutoruhusu kumiliki nyumba kubwa wengi wamechagua style hii ya ujenzi,master bedroom chumba cha watoto wa kike na chumba cha watoto wa kiume bora familia yake ijisitiri ila kama mtu uwezo unao siyo mbaya nyumba yako kuwa na vyumba kuanzia vitano+ ili kukamilisha mahitaji yote.
Itakuwa wewe ni babu unahifadhi hadi wajukuu,, kwa family hii inatoshaVyumba vichache sana
Daah Jf bhanaNyumba haina library
Hapo kwenye kuvuka corridor ndo uingie dinning ndo pameharibu,ilikuwa either hiki chumba kilichopo upande wa kushoto mwa sebule kiwe ndo dinning kirandane na jiko kisha hiko chumba kikakae ilipo dinning kwenye ramani yako.
Though siyo msanifu majengo naweza kosolewa.
[emoji3][emoji3][emoji3]mkuu vipiDaah Jf bhana
Nyumba haina library
Sasa viwe vingi ni hoteli hio?😂😂😂Vyumba vichache sana
Akili yako unaijua[emoji3][emoji3][emoji3]mkuu vipi
Library ya nn? akikaa sebuni atasoma hicho kitabu.Nyumba haina library