Ninavutiwa sana na wanawake micharuko A.K.A wacheshi

Ninavutiwa sana na wanawake micharuko A.K.A wacheshi

Hii kauli naichukia[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Tamka baby nina uhitaji wa cash sio njaa ptuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] babee wangu kashazoeaa yaan.kwanza mie naweza nkajifanya namkopaa pia, uwiiiiih
 
Sijui leo ulikuwa unadalukia wapi? [emoji23][emoji23][emoji23] au shem mods kakuteka kungwi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] penzi jipyaa na modes mchezoo, Pm kunawaka motooo, mara tsup, mara JF pm, mara anipigiee.

Hatariiiiiii
 
Mwambie shem awe anakuachia hata kidogo [emoji119][emoji119]
Kwan hapo natakiwa kupunguza mazoea na wanaume wa Jf, maana watapigwa ban balaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom