Ninavutiwa sana na wanawake micharuko A.K.A wacheshi

Dada nimekukubali sana hebu saidia hili liishe naamini lipo ndani ya uwezo wako maana i’m trying to do this on my own and it’s a bigger job than i ever imagined, tuunganishe nguvu nimbebe jumla cute wife
Limeisha hili shem
 
Shemeji yetu Countrywide ndio mwenyewe sasa,Kijana mjanja from Chugastan...Mimi Kama mweka hazina nasemajeeee Ni Nyama choma na bia mpaka watu wabebe.....X-shemeji NALIA NGWENA atusamehe bure[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Asante kiti kwa kufika shemeji tunaye country oyeeee
 
Na Ile sura yake inaonyesha Hana huruma akiwa kilingeni,ataanza na Shem mpambe Shunie ,halafu wewe[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787] me nina Yesu vitaishia juu kwa juu
 
[emoji23][emoji23][emoji23] Dada leo mlivyomgeuka km sio nyie mliompamba [emoji119][emoji119]
Kwanza atatuharibia watoto sura km tope
[emoji1787] Akija hapa hataamini
 
Kama unaangia our story yule rahmet atakuwa na undugu na mleta mada mana yeye hapatani kabisa na wasichana watulivu
Wasichana wakimya sifa zao;
1. Anaongea ukimsemesha tu
2. Kila siku lazima umtongoze ndio ule mzigo
3. Akikolea anaguna mmmh kama kondoo🤣
 
Sijawahi ku-comment nyuzi za hovyo, ila huu niko pamoja na wewe mpaka mpaka siku mkataba wa bandari urakapoisha.

Wanawake wa aina hiyo, wana pepo yao ya kipekee sana 🥰🥰🥰
 
[emoji23][emoji23][emoji1787]
Eeenh bwana watazoeana tu uko mbele kwa mbele [emoji23] si unajua hata kama hampendani kitendo cha kuwa karibu kila siku basi mnajikuta mnapendana tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…