majebelenzoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2024
- 288
- 465
Hizo alizofungwa biashara ilikataliwa, na ni zile tuu ambazo hazina ufadhili wa gsmWe mpuuzi kweli unajua maana ya match fixing kweli? Match fixing maana yake ni mechi imenunuliwa na kivyovyote matokeo nilazima yatoke kama ilivyonunuliwa. Sasa Yanga mbona amefungwa mechI mbili msimu huu?
m. 1 aitoe wapiWe mpuuzi kweli unajua maana ya match fixing kweli? Match fixing maana yake ni mechi imenunuliwa na kivyovyote matokeo nilazima yatoke kama ilivyonunuliwa. Sasa Yanga mbona amefungwa mechI mbili msimu huu?
Unatumia reference za ulaya kuongelea mambo ya tanganyikaSportbook hawaweki odds kwa kukurupuka. Kuna watu wanalipwa mamilion kutengeneza na ku control odds kwenye kampuni zinazomiliki sportbook . Ukiona timu imepewa odds ujue inawezakutoa matokeo yoyote na yakakushangaza. Tuje kwenye kampuni ya kubeti timu ikiuza mchezo ukasambaa huchukuliwa kama fraudulent na wote mlioweka huo mkeka hamtalipwa au odds itafungwa. Unaposema yanga ana fanya match fixing huo ni upotoshaji wa wazi , hakuna timu inayofanya match fixing tena ya ligI kuu afu iwekwe kwenye sportbook . Wewe mtu wa kijiweni huwezi kupata taarifa za match fixing kabla ya makachero wa sportbook
Na tarehe 8 pia mpe Yanga! Hutojutia.Jana nilibet match moja tu ya Yanga na niliweka milioni nikijua Yanga atashinda, nikapiga hela yangu ya kunitosha kula wiki nzima.
Kuna mechi ambazo huwa nina uhakika Yanga anashinda, kwa msimu uliopita pekee nimeniingizia pesa nyingi sana.
Vijana acheni kulalamika tumieni hiyo fursa kupata mitaji.
Match fixing is real, but take it in a positive way. Ukinirushia ndimu nalikamua kuwa juice
Jana nilibet match moja tu ya Yanga na niliweka milioni nikijua Yanga atashinda, nikapiga hela yangu ya kunitosha kula wiki nzima.
Kuna mechi ambazo huwa nina uhakika Yanga anashinda, kwa msimu uliopita pekee nimeniingizia pesa nyingi sana.
Vijana acheni kulalamika tumieni hiyo fursa kupata mitaji.
Match fixing is real, but take it in a positive way. Ukinirushia ndimu nalikamua kuwa juice
BoLaki na nusu unaita kupiga pesa? Kweli maajabu hayawezi kuisha
Bora mkuu wewe ni mfano hai nimejaribu kuwaeleza wanakaza ubongonina mkosi na hili litimu liitwalo yanga. nilimpa mechi na tabora united ili ashide, akakandwa, nikampa tena mechi na JKT aka....... JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala it
Unatumia reference za ulaya kuongelea mambo ya tanganyika
Mechi yoyote kati ya Yanga na Dodoma jiji au yanga na singida usiumize kichwa ,mshindi anajulikana weka mzigo kula hela
Hapa karibu na kwa mrefu..Umeikuta kijiwe gani mkuu
Wewe ni maamuma na hakuna unalojuaIkikosa sifa hizo sio match fixing na matokeo yanaweza kubadilika. Pia nikufahamishe tena ukiona wewe umepata fixed game ujue hata uki stake huo mkeka hautalipwa. Hapo nimekutoa ushamba kidogo kuhusu fixed game.
Kama kwenye ubongo wako kumejaa kinyesi huwezi kuelewaWewe ni maamuma na hakuna unalojua