Ninawachukia Hawa.....



hahahaha mie huyu ningemkimbiza kabisa kabisa ...
 
Ahaaaa ahaaaa jana kuna jamaa kapigiwa simu na mdada anaambiwa "Leo birthday yangu njoo uninunulie kreti mbili za bia" jamaa nikasikia anamjibu wee chizi nini

Nina mashaka, huyu alikuwa mpenzi wake kweli? Au alitaka kumchuna tu. Maana naona sentensi kavu sana. Yaani jamaa alikuwa hajui kwamba ni birthday ya mpenzi wake, halafu sentensi aliyotumia dada haina majoto, wala unyevunyevu kavu sana broda.
 
Eti unaniachaje sasa Gaga lol ulaaniwe na mwenyez Mungu, sipendi kupiga mizinga na sipendi kupigwa mizinga ila zinazojileta nazivuta tu kiaina

Baba nanii akiona hapo penye rangi, sijui utamwambia unazivuta kupeleka wapi?
 

Makubwa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Jamani jf, nazidi kuamini ni mahali pa kupunguzia, kama si kumalizia msongo wa mawazo. Big up wanajamii wooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooote, hata wale ambao hawajajiunga lakini huwa wanapitiapitia humu nawapongeza.
 
una kutana na mdada first day
siku ya pili anakwambia kodi ya nyumba nzima aliyopanga imekwisha.....

unabaki mdomo wazi....

as if tusingeonana ungelala stendi au??????????

Hapo chacha!!!!!!!!!!!!!!!!!! Yaani kwa kweli ni aibu natamani kama wadada wote wangekuwa wamejiunga humu jf, wasome halafu waone wanavvyoshambuliwa. Masikini kadogo kangu, nitaongea nako kuhusu hili, maana huwa naongea nako kuhusu mambo ya maisha kwa ujumla yanavyoendelea. Kakija likizo hii nitakatoa kwa chakula cha usiku halafu nikaambie kasijekuthubutu kuwa tegemezi, maana huwa nakaambia elimu tu ndo kaangalie sana, hila sasa ubaya kuna watu wengine wana kila kitu na uwezo wa kifedha, lakini bado wanapenda kupiga mizinga. Nina rafiki yangu, aliniambia ukiona mwanaume anakusumbuasumbua halafu hayuko rohoni mwako, mwombe hela mara mbili tatu hata kama hauna shida nazo, labda wadada wengine pia wameshakajua haka kamtindo, maana kuna wanaume ni wasumbufu jamani we acha tu.
 

Masikini!!!!!!!!!!! Kwa kuwa wameona anafanya kazi benki basi. Halafu ogopa mwanaume wa kupiga mizinga, ni hatari sana hawa watu. Anampiga mzinga mwanamke, halafu anaenda kutumia na msichana mwingine, hatakueshimu, hatajidai anakupenda machoni kumbe moyoni ni mnafiki tu! Anapenda hizo pesa zako. Sipendi kabisa tabia ya wanaume kuwa tegemezi. Raha ya mwanaume kujua majukumu yake bwana.
 

Yaani wewe na mimi tungeendana sana....cjui ndiyo ubavu wangu? daa!!!

 
Wewe hupigi mizinga rev? unajua kuna wanawake ni proffessional yaani hujaombwa umetoa mwenyewe.. yani jinsi ukiwa nae unahisi tu kumuhudumia mwenyewe

Hili Darasa la hapa cio mchezo......sasa cc wakulima tulifika mjini...juzi juzi umesoma bush...ajira mjini madaraka makubwa....hapa macho yanafunguka...ama kweli JF mwisho!!!!!!
 
Jamani Rev. Masanilo, we ni mchungaji gani usiye na upendo kwa mabinti Sayuni?
Au na wewe mwenzetu ni wa ki David Cameroon?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…