Benson Mramba
JF-Expert Member
- Oct 29, 2013
- 648
- 1,485
John Mrema ni mtu mwenye Cheo sawa na cha Humphrey Polepole wa CCM yaani ni mwenezi wa Chama Taifa.
Kwa muda mrefu nimekuwa nikimsema humu JF kuwa yeye ndie amekuwa akiivuruga CHADEMA kwa fitina na majungu yake na kumshauri vibaya M/kiti wa Chama chake yeye pamoja na mtu anaitwa Reginald Munisi.
WanaCHADEMA wamenielewa na wamegundua hila zake na sasa wameanza Kumkataa hadharani. Mrema ameshiriki kura za maoni kugombea jimbo la Segerea ambalo mwaka 2015 aliachiwa Mtatiro ila Mrema kwa kumtumia mwandani wake wakagawa kura zaidi ya 45000. Mwaka huu wamegawana Mzee Segerea yule mwingine Karagwe huko!
Jimbo la Segerea kura za Maoni Tayari
Na matokeo ni kama Ifuatazo
Jumla ya Wapiga Kura 144
Agnes Lambert 76
John Mrema 56
Masatu Wasira 7
Gango Kidera 3
Andrew 1
Kura zilizoharibika 1
Wanawake Oyeeee!
Mwenyekiti wa Baraza la Wadhamini nae kapata kura 2 kati 128 huko Muhambwe!
Tunamsubiria Baba yake Mbowe kwenye Urais!
Kwa muda mrefu nimekuwa nikimsema humu JF kuwa yeye ndie amekuwa akiivuruga CHADEMA kwa fitina na majungu yake na kumshauri vibaya M/kiti wa Chama chake yeye pamoja na mtu anaitwa Reginald Munisi.
WanaCHADEMA wamenielewa na wamegundua hila zake na sasa wameanza Kumkataa hadharani. Mrema ameshiriki kura za maoni kugombea jimbo la Segerea ambalo mwaka 2015 aliachiwa Mtatiro ila Mrema kwa kumtumia mwandani wake wakagawa kura zaidi ya 45000. Mwaka huu wamegawana Mzee Segerea yule mwingine Karagwe huko!
Jimbo la Segerea kura za Maoni Tayari
Na matokeo ni kama Ifuatazo
Jumla ya Wapiga Kura 144
Agnes Lambert 76
John Mrema 56
Masatu Wasira 7
Gango Kidera 3
Andrew 1
Kura zilizoharibika 1
Wanawake Oyeeee!
Mwenyekiti wa Baraza la Wadhamini nae kapata kura 2 kati 128 huko Muhambwe!
Tunamsubiria Baba yake Mbowe kwenye Urais!