Uchaguzi 2020 Ninawapongeza WanaCHADEMA wa Jimbo la Segerea kwa kumkataa John Mrema na kumpa Agnesta Lambert

Uchaguzi 2020 Ninawapongeza WanaCHADEMA wa Jimbo la Segerea kwa kumkataa John Mrema na kumpa Agnesta Lambert

Benson Mramba

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2013
Posts
648
Reaction score
1,485
John Mrema ni mtu mwenye Cheo sawa na cha Humphrey Polepole wa CCM yaani ni mwenezi wa Chama Taifa.

Kwa muda mrefu nimekuwa nikimsema humu JF kuwa yeye ndie amekuwa akiivuruga CHADEMA kwa fitina na majungu yake na kumshauri vibaya M/kiti wa Chama chake yeye pamoja na mtu anaitwa Reginald Munisi.

WanaCHADEMA wamenielewa na wamegundua hila zake na sasa wameanza Kumkataa hadharani. Mrema ameshiriki kura za maoni kugombea jimbo la Segerea ambalo mwaka 2015 aliachiwa Mtatiro ila Mrema kwa kumtumia mwandani wake wakagawa kura zaidi ya 45000. Mwaka huu wamegawana Mzee Segerea yule mwingine Karagwe huko!

Jimbo la Segerea kura za Maoni Tayari
Na matokeo ni kama Ifuatazo

Jumla ya Wapiga Kura 144

Agnes Lambert 76
John Mrema 56
Masatu Wasira 7
Gango Kidera 3
Andrew 1
Kura zilizoharibika 1

Wanawake Oyeeee!

Mwenyekiti wa Baraza la Wadhamini nae kapata kura 2 kati 128 huko Muhambwe!

Tunamsubiria Baba yake Mbowe kwenye Urais!
 
Nakipongeza CDM kwa ukomavu wa demokrasia ktk kuchuja majina ya watia nia wao. Hakuna suala la kuchapisha fomu moja kwa ajili ya aibu ya kukwepa ushindani, hakuna majina kutoka mfukoni mwa suruali ya Mwenyekiti Taifa, hakuna uwepo wa vivuli vya majina makubwa kutoka Makao Makuu, hakuna kusifu na kuabudu, bali ni wanajimbo kupewa nafasi ya kuchuja watia nia kutokana na "merits" zao hapo jimboni.

Team - CCM hapa mnalo la kujifunza hapa. Kote Tanzania Bara na Visiwani mtaadhibiwa na wananchi wenye mapenzi mema kutokana na ubabaishaji mwingi mlioufanya ktk jambo hili.
 
That is democracy! Siyo Bwana yule alitoa amri ichapishwe fomu moja! halafu mnaharibu hela eti mikutano ya kuchagua! Mfyyuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
Huu ni ubunge si urais bhabha
 
Siwezi kwa vile yeye (au anapashwa) ni KIOO na KIELELEZO cha kila kitu kwetu be it katiba, sheria, democracy, utii, tabia njema, kauli njema, mfariji Mkuu etc etc etc! . Kama anakiuka hayo, basi lazima nimseme! Nimlinganishe na wengine
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Huwezi kuizungumzia chadema bila kumhusisha JPM?
Siwezi kwa vile yeye (au anapashwa) ni KIOO na KIELELEZO cha kila kitu kwetu be it katiba, sheria, democracy, utii, tabia njema, kauli njema, mfariji Mkuu etc etc etc! . Kama anakiuka hayo, basi lazima nimseme! Nimlinganishe na wengine
 
Nampngeza Agnes Lambert kwa ushindi mnono kumbwa huyo kidume John Mrema

Leo atalewa konyagi hadi aehuke kwa stress za kubwagwa
 
Wanawake wamechachama CHADEMA kinondoni Suzan LYIMO KAMKIMBIZA KIGOGO NAIBU KATIBU MKUU WA CHADEMA ZANZIBAR SALUM MWALIMU kashinda ugombea jimbo la KINONDONI na kumfanya Salum mwalimu apande boti haraka ya azam kwenda kwao zanzibar kwa aibu

SEGEREA kigogo mwingine wa chadema MKURUGENZI mkuu wa mawasiliano,itifaki na mambo ya nchi za nje wa Chadema John MREMA kabwagwa na mwanamama Agnes Lambert

Hongereni akina mama kwa kuwavurumisha vigogo wa chadema kura za maoni
 
Hizo nikura za wajumbe tu hila ukweli Mrema kawanyoosha sana ccm since day one
 
Nakipongeza CDM kwa ukomavu wa demokrasia ktk kuchuja majina ya watia nia wao, hakuna majina kutoka mfukoni mwa suruali ya Mwenyekiti Taifa, hakuna uwepo wa vivuli vya majina makubwa kutoka Makao Makuu
Mwanzo mzuri. Ngoja tusubiri tuone kama Kamati Kuu itaheshimu chaguo za wanachama na kurudisha majina ya washindi kama yalivyo
 
Haiwezekani mshindi wa pili akachaguliwa, wa kwanza akaachwa? oh, kumbe huku ni Chadema, poleni sana.

Karibuni nyumbani kumenoga .....CCM oyeeeee
 
Back
Top Bottom