Uchaguzi 2020 Ninawapongeza WanaCHADEMA wa Jimbo la Segerea kwa kumkataa John Mrema na kumpa Agnesta Lambert

Uchaguzi 2020 Ninawapongeza WanaCHADEMA wa Jimbo la Segerea kwa kumkataa John Mrema na kumpa Agnesta Lambert

Ulitaka apate kura ngapi? Hiyo ni Chadema kwenye demokrasia, sio huko kwenye fomu moja na kura ukumbini mnapiga kwa mikoa huku kukiwa na maelekezo ya sanduku lenye kura ya hapana tutadukua tuu hadi kumjua aliyepiga.
 
CHADEMA iko Moyoni Mwako na CCM iko tumboni mwako.

Maandiko yako yanathibitisha bado una mahaba ya dhati kwa CHADEMA.

Sio vibaya ukirudi ulipotoka!
Nani ana mtaka kahaba wa kisiasa huyo? Kwanza kuna taarifa kuwa ana mkono mrefu hivyo akae hukohuko kwa wenzake
 
Hivi CHADEM 2015 walichapisha form ngapi kwaajili ya wagombea urais. Au wameshasahau.

Na CCM 2015 walichapisha form ngapi. Tuwe tuna tafakari kabla ya kuongea. Huwezi linganisha demokrasia ya ccm na ya chadema. Vitu viwili tofauti.
 
Hii ni aibu kubwa sana kwa John Mrema na Salumu Mwalimu
 
Huko kwenu mwenyekiti hua anawazodoa tu wanawake,mara barakoa inafanana na titi lililokatwa hahahah
 
Haiwezekani mshindi wa pili akachaguliwa, wa kwanza akaachwa? oh, kumbe huku ni Chadema, poleni sana.

Karibuni nyumbani kumenoga .....CCM oyeeeee
Mshindi wa kwanza tulimpa CROSS
Mshindi wa pili nae CROSS
Wa tatu nae CROSS
Wa Nne ndiye tukampitisha ambae ndiye huyu Ndumbalo

Hayo ni Maneno ya Mwenyekiti wa CCM Taifa-Magu
 
Wahuni hao Mkuu democracy kwao ni FOREIGN WORD. Wamezoea kung’ang’ania madaraka kwa njia HARAMU za kutisha watu au kuwafukuza na pia kutumia mtutu wa bunduki ili kuiba chaguzi. Angalia jinsi kauli ya Sheikh Ponda walivyoiogopa na kudai eti ni UCHOCHEZI!!!

Siwezi kwa vile yeye (au anapashwa) ni KIOO na KIELELEZO cha kila kitu kwetu be it katiba, sheria, democracy, utii, tabia njema, kauli njema, mfariji Mkuu etc etc etc! . Kama anakiuka hayo, basi lazima nimseme! Nimlinganishe na wengine
 
Hivi CHADEM 2015 walichapisha form ngapi kwaajili ya wagombea urais. Au wameshasahau.

Na CCM 2015 walichapisha form ngapi. Tuwe tuna tafakari kabla ya kuongea. Huwezi linganisha demokrasia ya ccm na ya chadema. Vitu viwili tofauti.
Nakubali kwa 100% demoghasia ya Ccm ni babukubwa no wonder wabunge wapinzani waliounga mkono juhudi hawataruhusiwa kushindanishwa na walioipigania CCM miaka yote.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Wahuni hao Mkuu democracy kwao ni FOREIGN WORD. Wamezoe kung’ang’ania madaraka kwa njia HARAMU za kutisha watu au kuwafukuza na pia mtutu wa bunduki ili kuiba chaguzi. Angalia jinsi kauli ya Sheikh Ponda walivyoiogopa na kudai eti ni UCHOCHEZI!!!
haya niliyaona kwa Idd Amin! Sikufikiria kuwa tungelifika huko! Exactly tabia za tawala za madikiteita!
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Wewe ni kama mimi Mkuu. Ya Burundi, ya M7 na madikteta wengine sikutegemea kuyaona kwetu. Pamoja na kumsifia sana huyo dikteta kwamba ni jembe kafanya mengi sana tangu 2015 blah blah blah lakini wanaoigopa tume huru kwa kujua fika nini kitawafika October 2020.

Dikteta katenda mengi mazuri tangu 2015 lakini anahofia uchaguzi huru na wa haki!!!! Very STRANGE!


haya niliyaona kwa Idd Amin! Sikufikiria kuwa tungelifika huko! Exactly tabia za tawala za madikiteita!
 
Wewe ni kama mimi Mkuu. Ya Burundi, ya M7 na madikteta wengine sikutegemea kuyaona kwetu. Pamoja na kumsifia sana huyo dikteta kwamba ni jembe kafanya mengi sana tangu 2015 blah blah blah lakini wanaoigopa tume huru kwa kujua fika nini kitawafika October 2020.

Dikteta katenda mengi mazuri tangu 2015 lakini anahofia uchaguzi huru na wa haki!!!! Very STRANGE!
wanajua kuwa hakubaliki pamoja na upuuzi wa stigila, madebe eti ndege etc
 
Nakipongeza CDM kwa ukomavu wa demokrasia ktk kuchuja majina ya watia nia wao. Hakuna suala la kuchapisha fomu moja kwa ajili ya aibu ya kukwepa ushindani, hakuna majina kutoka mfukoni mwa suruali ya Mwenyekiti Taifa, hakuna uwepo wa vivuli vya majina makubwa kutoka Makao Makuu, hakuna kusifu na kuabudu, bali ni wanajimbo kupewa nafasi ya kuchuja watia nia kutokana na "merits" zao hapo jimboni.

Team - CCM hapa mnalo la kujifunza hapa. Kote Tanzania Bara na Visiwani mtaadhibiwa na wananchi wenye mapenzi mema kutokana na ubabaishaji mwingi mlioufanya ktk jambo hili.
Nadhani tusubiri wakati wa kampeni zitakapoanza,lakini jambo ninaloona mazingira ya 2020 na 2015 no tofauti sana,Naona vyama vya upinzani vinapitia nyakati mbaya zaidi toka huu mfumo uhasisiwe nchini ila muda utasema ngoja tuone bado miezi mitatu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkuu kayasema kweli haya maneno bwana Jiwe?? Kama aliyasema haya asee tumepatikana sana
Hahah mkuu alisema hivyo hivyo nilivyoandika,siku hio alikua anaongea na wale jamaa wa CWT(Chama cha Walimu Tz).
 
Back
Top Bottom