Uchaguzi 2020 Ninawapongeza WanaCHADEMA wa Jimbo la Segerea kwa kumkataa John Mrema na kumpa Agnesta Lambert

Unataka kusema mzee Ntagazwa nae alienda kugombea Muhambwe?
 
Siwezi kwa vile yeye (au anapashwa) ni KIOO na KIELELEZO cha kila kitu kwetu be it katiba, sheria, democracy, utii, tabia njema, kauli njema, mfariji Mkuu etc etc etc! . Kama anakiuka hayo, basi lazima nimseme! Nimlinganishe na wengine
Kama ni kioo unasemaje kuhusu rushwa, au hiyo ina duoble std??
Gen Boss TAKUKURU kasema anapambana nayo, lakini Kigwangwala kagawa pikipiki zaidi ya 300 na baiskeli phoenix zaidi ya 800 hapo Nzega kwa wapiga kura za maoni Nzega!!
Na Tulia naibu spika kagawa pikipiki kwa wana bodaboda pale Mbeya!!
Ni rushwa ipi mnpambana nayo???
 
haya niliyaona kwa Idd Amin! Sikufikiria kuwa tungelifika huko! Exactly tabia za tawala za madikiteita!
Maendeleo hata maflyover, madege, reli, meli etc bila uhuru na demokrazia ni utumwa!!
South Afrika na nchi zetu, pamoja na maendeleo makubwa tulidai uhuru tujitawale tusiwe watumwa!!
Tuwe watumwa karne ya ishirini ni aibu sana!!
 

Huyo mzee wa baraza la wadhamini sijui kapatwa na kitu gani kichwani!
 
siasa mbaya sana, unatumia muda na fedha halafu unaambulia kura yako mwenyewe.
 
Mshindi wa kwanza tulimpa CROSS
Mshindi wa pili nae CROSS
Wa tatu nae CROSS
Wa Nne ndiye tukampitisha ambae ndiye huyu Ndumbalo

Hayo ni Maneno ya Mwenyekiti wa CCM Taifa-Magu
Uchaguzi sio kura tu, lazima uwe safi. Kama mtu akipitia njia za kando kando kupata ushindi, lazima kamati maalumu zitoe uwamuzi.
 
Uchaguzi sio kura tu, lazima uwe safi. Kama mtu akipitia njia za kando kando kupata ushindi, lazima kamati maalumu zitoe uwamuzi.
Baada ya meza kupinduliwa kibabe.
 
Wewe utahangaika sana lakini Huteuliwi ng'o, laana ya hela ulizokwapua Chadema inakutafuna, endelea tu na biashara yako ya mama lishe na bar bubu.
kwahiyo hela za chadema alizokwapua ndo mtaji wa baa bubu na mamalishe.

Mkuu baa iko mitaa gani tunywe bia na kuwaponda kina mbowe
 
Kwa hakika CCM haikuwa na na sababu ya kufanya zoezi eti la kutafuta wadhamini kwa mgombea urais na kufanya mkutano mkuu. Kwa kuwa fomu ilikuwa mojayombo vya juu , vingekasimu masuala yote kwa Kamati Kuu. Vinginevyo mambo yote yaliyokuwa yanafanyika ilikuwa usanii mtupu!
 
Kwa hakika CCM haikuwa na na sababu ya kufanya zoezi eti la kutafuta wadhamini kwa mgombea urais na kufanya mkutano mkuu. Kwa kuwa fomu ilikuwa mojayombo vya juu , vingekasimu masuala yote kwa Kamati Kuu. Vinginevyo mambo yote yaliyokuwa yanafanyika ilikuwa usanii mtupu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…