Ninawapongeza wananchi wa mzinga kwa kufunga barabara, serikali hii isiyosikia ichukue hatua

Ninawapongeza wananchi wa mzinga kwa kufunga barabara, serikali hii isiyosikia ichukue hatua

kwani kuna mtu aliwatuma? pambaneni na hali zenu hakuna aliyewatuma kuchagua utawala dhalimu , na nyie ndio mnasifia kila uchao ooh anaupiga mwingi ooh tunamshukuru mama, mshukuruni pia kwa ajali hiyo ili shukrani zenu zimdfikie akiwa huko Ufaransa. Nchi ya viazi mviringo kabisa.
Aliyekuloga amekufa?
Nchi hii Toka lini watu wanachagua MTU wanayemtaka? Nani mwenye uwezo wa kwaondoa CCM Kwa njia ya Kura? Kwa katiba gani unaweza kumchagua MTU unayemtaka? Tanzania tunawekewa viongozi wanaochaguliwa na system na sio wananchi
 
Aliyekuloga amekufa?
Nchi hii Toka lini watu wanachagua MTU wanayemtaka? Nani mwenye uwezo wa kwaondoa CCM Kwa njia ya Kura? Kwa katiba gani unaweza kumchagua MTU unayemtaka? Tanzania tunawekewa viongozi wanaochaguliwa na system na sio wananchi
kwahiyo kama umewekewa na system unakuwa kondoo tuuu na unakubali kwani ukikataa wasikutawale watakuua? akili mbovu sana hizo kwningineko duniani huko wanaandamana mpaka unatoka mwenyewe sio lazima uolewe kama hujatoa ridhaa, JIPANGE.
 
Haya serikali ifanye kitu hapo
Mambo ya kupeleka hela kuwapa wafunga magoli aojui kuwapa waasanii na machawa iaache

Ova
 
Nimewahi kuishi hiyo mitaa (Kokoto) mwanzoni mwa miaka ya 2000, hivyo naelewa ulichokiandika.

Nimewahi kushuhudi ajali mara kadhaa maeneo hayo, ni huzuni kwa kweli ndugu zetu wengi sana wamepoteza maisha hapo mto kizinga na hapo mwanzo wa kilima (Kokoto)

Ni miaka zaidi ya 25 sasa watu wamekuwa wakipoteza uhai hapo kwa ubovu wa miundombinu ya hapo.

Nb: Ningefurahi kama ningesikia hao machawa wa CCM (Policcm) mmoja mmekata masikio yake kuonesha hamna mzaha.

©Mama haupigi,
mwingi anabutua
 
Poleni kwa wakazi w mzinga (mlimani)


KAZI ni kipimo cha UTU
 
Poleni sana, wiki mbili zilizopita hiyo ajali ya bajaji kuangukiwa na Lori ilitokea alfajiri, Kuna abiria alikuwa anaomba msaada amebanwa ilikuwa mbaya sana. Inasikitisha sana.
 
feyzal hii barabara ingekuwa IPO wilaya kinondoni ingekuwa imejengwa miaka 10 uliyopita,UJINGA kama huu unasababisha tuone ndani ya nchi hii kuna ubaguzi wa maeneo na kikanda.

Eneo lote la mzinga ni hatarishi Sana na barabara ni nyembamba kama ya mtaani, viongozi wa nchi hii ni vipofu wote
Sahihi mkuu,Mzinga ni hatari sana.
 
kwahiyo kama umewekewa na system unakuwa kondoo tuuu na unakubali kwani ukikataa wasikutawale watakuua? akili mbovu sana hizo kwningineko duniani huko wanaandamana mpaka unatoka mwenyewe sio lazima uolewe kama hujatoa ridhaa, JIPANGE.
Wewe umewahi kuandamana mkuu?
 
Daaaah,, nakumbka mwaka 2012 apo nipo la saba, shule ilikua mjini kabisa na ili ufike shule lazima uvuke lami,sasa watoto walikua wanagongwa sana na magari na hapakua na kivuko chochote.
siku io kagongwa mtoto asubuhi,walimu walisubiri tushibe ugali mchana,kisha ikagongwa kengele,tukaenda mstarini😁, aseee mkuu wa shule alitwambia kauli moja tu,(nendeni barabaran mkasema tunataka matuta)😂😂.
Aloooh mengine tulijiongeza wenyewe, kama kuweka magogo na kuimba nyimbo,kumfata mkuu wa mkoa kwake (RIP yule mama),afu ilikua jioni mabasi ya dar ndo yanafika🤣kwan walituweza sasa,tukiona dereva m'babe tunalala kabisa na mkuu wa mkoa alikuja shulen mda ule ule na kulkua na mvua.
Siku ya pili tuliwekewa trafiki na sku ya tatu zebra crossing,,leo ad taa zipo😂🤣.

Samahani uandishi m'bovu poleni kwa gazeti pia.
 
Back
Top Bottom