Ninawashukuru watu hawa kabla mwaka huu kuisha.

Jiandae kuanza kupoteza kumbukumbu na kvant 😂😂hujambo babu yake j
 
Inaitwa kifutio

Sijambo kipenzi, wewe hujanimisi?
Utakwenda na maji babu.

Kipenzi hiyo vipi na umenishushua😂😂😂

Nikumiss halafu nije kumwagiwa maji ya moto jeifu na mabibi wa michongo akuuu
 

Shukurani ni tendo la imani …Barikiwa mno mamii
 
Utakwenda na maji babu.

Kipenzi hiyo vipi na umenishushua😂😂😂

Nikumiss halafu nije kumwagiwa maji ya moto jeifu na mabibi wa michongo akuuu
Nimekushushua wapi kipenzi?

Vibaya hivyo. Bibi zako hawana neno na mjukuu...

Nimisi japo kidogo, roho yangu ipone.
 
Hi Chakorii, hongera kwa kuvuka salama kwenye hayo yote na kuwa na moyo wa shukrani, i hope walengwa wameona.

Ila kumbe una watoto? Nilikua nahisi ni kabinti kadogoo ka chuo labda, dah ngoja na mimi nipambane kabla mwaka haujaisha huu.😜
 
Hi Chakorii, hongera kwa kuvuka salama kwenye hayo yote na kuwa na moyo wa shukrani, i hope walengwa wameona.

Ila kumbe una watoto? Nilikua nahisi ni kabinti kadogoo ka chuo labda, dah ngoja na mimi nipambane kabla mwaka haujaisha huu.😜
Asante sana FS ninaamini wameona..

ndio bhana ninamaboss zangu ndugu yangu😄😄
Sijui Kwa nini vidole vyangu vimegoma kubadili aina hii ya mwandiko😄.

Naonaga vidole vinabadilika nikiwa naandika ushauri😂

Hahaha…kabinti kachuo eee safi👊
Ninakaribia uzee ndugu yangu😂

Kama Uko na mtu wa kueleweka mama jipatie mtoto wako lakini nakutahadharisha asiwe mume wa mtu ndugu yangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…