Ninawashukuru watu hawa kabla mwaka huu kuisha.

Ninawashukuru watu hawa kabla mwaka huu kuisha.

Wivu sina ila roho inauma. Hasa hapo unapandika G basi shetani ananifanyia hila sana

Mungu wa mbinguni nihurumie, Nakuomba unisikie.
Basi kazi utakuwa nayo kubwa sana.maana ninafupisha majina ya watu humu vibaya sana.

😂😂😂😂Mungu haoneagi huruma vitu vya ajabu.
 
Nimekushushua wapi kipenzi?

Vibaya hivyo. Bibi zako hawana neno na mjukuu...

Nimisi japo kidogo, roho yangu ipone.
Sehemu.

😂😂😂tena hao bibi wa mchongo wanakuwaga visirani kweli..ghafla sana waa mara maji ya ukoko kwenye mwandiko…
 
Asante sana FS ninaamini wameona..

ndio bhana ninamaboss zangu ndugu yangu😄😄
Sijui Kwa nini vidole vyangu vimegoma kubadili aina hii ya mwandiko😄.

Naonaga vidole vinabadilika nikiwa naandika ushauri😂

Hahaha…kabinti kachuo eee safi👊
Ninakaribia uzee ndugu yangu😂

Kama Uko na mtu wa kueleweka mama jipatie mtoto wako lakini nakutahadharisha asiwe mume wa mtu ndugu yangu
Ahsante kwa ushauri hapo kwenye mume wa mtu mmh nnavoogopa siombei kabisa.

Muandiko huo ni wa kabinti kabichii, ila ni vizuri tu, wasalimie maboss wetu
 
Ahsante kwa ushauri hapo kwenye mume wa mtu mmh nnavoogopa siombei kabisa.

Muandiko huo ni wa kabinti kabichii, ila ni vizuri tu, wasalimie maboss wetu
Bora uogope ndugu yangu.

😂😂😂binti wa mchongo..
Zimafika..
Nasikitika boss mkubwa hajachukua kombe maana mmoja 🇫🇷 mwingine 🇦🇷..ngoja tufurahie ushindi wa boss mdogo
 
Ahsante kwa ushauri hapo kwenye mume wa mtu mmh nnavoogopa siombei kabisa.

Muandiko huo ni wa kabinti kabichii, ila ni vizuri tu, wasalimie maboss wetu
Bora uogope ndugu yangu.

😂😂😂binti wa mchongo..
Zimafika..
Nasikitika boss mkubwa hajachukua kombe maana mmoja 🇫🇷 mwingine 🇦🇷..ngoja tufurahie ushindi wa boss mdogo
 
Nina wasiwasi huyu M (mwanaume) atakua ni huyu
mpwayungu village

Wacha bhana usiniambie
341591C7-3D79-438B-910D-38F3B3574C7A.jpeg
 
Bora uogope ndugu yangu.

😂😂😂binti wa mchongo..
Zimafika..
Nasikitika boss mkubwa hajachukua kombe maana mmoja 🇫🇷 mwingine 🇦🇷..ngoja tufurahie ushindi wa boss mdogo
Ohoo pole kwa boss mkubwa , mwambie aungane tu na mdogo tufurahie pamoja hamna namna 😂
 
Upo Very imoshono kuna kitu nimejifunza, hongera Chakorii kwa kuwa na shukrani. Ni wachache sana wanaotambua umuhimu wa kushukuru hata kwa jambo dogo.
🥰😘
 
Back
Top Bottom