More Chances
Senior Member
- Jun 24, 2022
- 151
- 344
NapangishaFrem ya biashara ni yako au unapangisha?
Na hela ya kupangisha ipo ndani ya hicho kiwango ulichokitaja?Napangisha
ndioNa hela ya kupangisha ipo ndani ya hicho kiwango ulichokitaja?
Mkuu kwa hiyo picha ya kuchungulia getini tena screenshot,una uhakika duka hilo ni lako?Hii nilifungua mwaka jana...
Kreti tu zilikula milion 2 kreti tupu..za bia 100 za soda 100 kwa elf 10, ukisema usubirie za bei rahis mtaani unapoteza mda..ukiwa na bia pamoja na soda unahitaji store kama frem sio kubwa, kwa mtaji huo anza kidogo na maji pamoja na sodaView attachment 2282932
Sina uhakika bossmkuu kwa hiyo picha ya kuchungulia getini tena screenshot,una uhakika duka hilo ni lako?
Tufanye Ni Lako mkuu.mkuu kwa hiyo picha ya kuchungulia getini tena screenshot,una uhakika duka hilo ni lako?
Hahaha ni lake...Tufanye Ni Lako mkuu.
Ufanye na nani?Tufanye Ni Lako mkuu.
Na Mrisho Mpoto.Ufanye na nani?
Dah nomecheka sanaUfanye na nani?
Upo wapW
ndio
Hmmh aiseeh waTz ni watu waajabu sana, kwahiyo ulitaka apige ndani ya duka lake ili uamini kuwa ni lake? Okay, hata kama sio lake kwanini usifuate idea anayotoa?mkuu kwa hiyo picha ya kuchungulia getini tena screenshot,una uhakika duka hilo ni lako?