More Chances
Senior Member
- Jun 24, 2022
- 151
- 344
I wish niwe na biashara kabla ya mwaka huu kuisha. Moja ya biashara inayo trend kichwani mwangu ni duka la vinywaji. Yani niuze vitu vifuatavyo.
Bia
Pombe kali kama K. vant na konyagi. Soda zote +plus takeaway. Maji ya jumla na rejareja. Sigara za jumla na rejareja. Wine kidogo. Naomba wale wenye idea na ujuzi na biashara hii andikeni chochote mnachokijua, kama bei za vinywaji hivo, upatikanaji, changamoto, Faida,vibali. Working capital yangu ni 2.5 -3.5M kwa kuanzia
Natanguliza shukrani
Pia comments zote zitasomwa
Bia
Pombe kali kama K. vant na konyagi. Soda zote +plus takeaway. Maji ya jumla na rejareja. Sigara za jumla na rejareja. Wine kidogo. Naomba wale wenye idea na ujuzi na biashara hii andikeni chochote mnachokijua, kama bei za vinywaji hivo, upatikanaji, changamoto, Faida,vibali. Working capital yangu ni 2.5 -3.5M kwa kuanzia
Natanguliza shukrani
Pia comments zote zitasomwa