Ninawaza tu lakini, hivi watu ambao hawaifahamu JamiiForums wanaishije?

Ninawaza tu lakini, hivi watu ambao hawaifahamu JamiiForums wanaishije?

Kwanini umeikacha ile ID yako pendwa? Ilishazoeleka ujue. Au kuna bwege alikukwaza? Tema mate nimchape
Babu si unajua me nilivyo unique na mshwitiii kuna raia wanapenda kufananisha watu,.nimeona bora niwe muungamishaji tuu,.
 
Back
Top Bottom