Ninawezaje kuifungulia mashtaka Benki ya NMB kwa dhuluma hii ya fedha zangu?

Ninawezaje kuifungulia mashtaka Benki ya NMB kwa dhuluma hii ya fedha zangu?

Yani wewe hueleweki,hata kusiidiwa ni ngumu sana.
Yaani kwa wachangiaji Hawa wote waliochangia wamenielewa Ila Ni wewe tu usiyeelewa 🤔🤔🤔🤔

Ok wapi usipoelewa nikueleweshe taratibu taratibu, yaani swali moja baada ya jingine ...

Anza........
 
Kuna vitu ujaeleza lazima, wao sio vichaa; kuna shida mahali lazima unayoijua
-Vitaje vitu hivyo...

-Hakuna pahala nimetaja ukichaa na pia mapungufu haya hayawezi kumfanya mtu kuwa kichaa au kuthibitisha ukichaa wa mtu.

-Eleza shida hiyo maana inaonesha tatizo hili unalifahamu kuliko mtoa dokezo.
 
Ipo hivyi

Walikuwa wananidai Milioni mbili na nikaongeza Deni la Milioni Saba jumla Milioni Tisa.

Hivyo Basi kwenye Deni jipya nikaandikiwa Milioni 9 na nikapewa Milioni 7 cash Ila wakati pesa zinaingia akaunti ikafungiwa na pesa sikuzipokea mkononi na salio lilokuwepo kwenye akaunti pia likajumlishwa na mkopo huo kufungiwa.

2:- Mkopo wa awali kwenye ESS haujatolewa na huku kwenye makato mapya ya mkopo wa Milioni Tisa wanakata pia......Aiseeeeh
Hiyo inaitwa consolidation, uliunganisha mkopo uliokuwa umesalia wa 2m pamoja na mkopo ulioomba wa 7m na kupata mkopo mpya wa 9m.

Unless huu mkopo mpya wa 9m labda ungepewa muda mrefu zaidi wa kulipa ili rejesho la mkopo uweze kulimudu otherwise inaweza kuwa vigumu kumudu kulipa marejesho ya mikopo yote miwili.
Nadhani haukupata ushauri mzuri kabla ya kuchukua huo mkopo wa pili. Ilitakiwa either mkopo wa 2m bila riba upunguzwe kwenye 7m ili ubaki na mkopo mmoja wa 7m au endapo ingeunganishwa then muda wa mkopo wa 7m ulitakiwa uwe mtefu zaidi ili ikijumlisha na balance ya 2m rejesho lake uweze kulimudu.

Otherwise kulingana na maelezo uliyotoa benki wako sahihi, mkopo wa 2m marejesho yake hayajaisha na huo wa 7m pia unatakiwa kulipa. Hapo labda ukaongee nao wafanye walichotakiwa kufanya wakati unaomba mkopo wa pili, kukuongezea muda wa kulipa ili uweze kumudu rejesho
 
Hiyo inaitwa consolidation, uliunganisha mkopo uliokuwa umesalia wa 2m pamoja na mkopo ulioomba wa 7m na kupata mkopo mpya wa 9m.

Unless huu mkopo mpya wa 9m labda ungepewa muda mrefu zaidi wa kulipa ili rejesho la mkopo uweze kulimudu otherwise inaweza kuwa vigumu kumudu kulipa marejesho ya mikopo yote miwili.
Nadhani haukupata ushauri mzuri kabla ya kuchukua huo mkopo wa pili. Ilitakiwa either mkopo wa 2m bila riba upunguzwe kwenye 7m ili ubaki na mkopo mmoja wa 7m au endapo ingeunganishwa then muda wa mkopo wa 7m ulitakiwa uwe mtefu zaidi ili ikijumlisha na balance ya 2m rejesho lake uweze kulimudu.

Otherwise kulingana na maelezo uliyotoa benki wako sahihi, mkopo wa 2m marejesho yake hayajaisha na huo wa 7m pia unatakiwa kulipa. Hapo labda ukaongee nao wafanye walichotakiwa kufanya wakati unaomba mkopo wa pili, kukuongezea muda wa kulipa ili uweze kumudu rejesho
Haujanielewa.

Ila kiufupi niliomba mkopo wa Milioni Tisa kwa lengo la kulipa Deni la mkopo wa awali wa Milioni mbili na baada ya kulipa ndipo ikabakia Milioni Saba niliyowekewa kwenye akaunti na kufungiwa.

Umeelewa?
 
Wewe jamaa ni zuzu na umejaa Uzuzu zombie, acha kucheza na akili za watu hilo jambo liko clear, ungeandaa ushahidi, kisha waalike Jambo TV, wabaini ukweli wa kila kitu ikiwemo mkataba wa mkopo, bank statement, makato.

Kuna uwezekano riba zinapishana na reconciliation haikufanyika vizuri, au taarifa za biashara yako kuna vitu umeghushi,

Otherwise hujachukua hatua za usaidizi nje ya mfumo hivyo ni aina ya watu ambao hawasaidiki, kwanza ni aina ya watu Washamba waliojaa ukijijini mwingi yaani wewe ni bonge la zuzu
 
Haujanielewa.

Ila kiufupi niliomba mkopo wa Milioni Tisa kwa lengo la kulipa Deni la mkopo wa awali wa Milioni mbili na baada ya kulipa ndipo ikabakia Milioni Saba niliyowekewa

Haujanielewa.

Ila kiufupi niliomba mkopo wa Milioni Tisa kwa lengo la kulipa Deni la mkopo wa awali wa Milioni mbili na baada ya kulipa ndipo ikabakia Milioni Saba niliyowekewa kwenye akaunti na kufungiwa.

Umeelewa?

Haujanielewa.

Ila kiufupi niliomba mkopo wa Milioni Tisa kwa lengo la kulipa Deni la mkopo wa awali wa Milioni mbili na baada ya kulipa ndipo ikabakia Milioni Saba niliyowekewa kwenye akaunti na kufungiwa.

Umeelewa?
Maelezo yako ya hapo juu hayakutaja milioni 9. Ulitaja 2m na 7m
Kama uliomba 9m na ukapewa 7m na mkopo wa awali unaendelea kuulipa then uliwahi kuuliza zile 2m kwenye 9m zilienda wapi? Umeomba bank statement yako na kuona wao benki walikuingizia kiasi gani? Mkopo mpya unalipa wa 7m au 9m? Kama ni 7m je hiyo 9m unayoisema wewe iko wapi?
Una uhakika kuwa mkopo uliokuwa approved ni 9m? Maana unaweza kuwa ulipmba 9m lakini ikawa approved 7m.
Any way kama kweli una ushaidi kwamba ulipewa mkopo wa 9m na unakatwa makato ya 9m lakini kwenye account yako zikaingizwa 7m na bado mkopo wa awali unaendelea kukatwa then una haki ya kulalamika na hili ni jambo ambalo lipo straight foward labda wewe tu ndio umeshindwa kujieleza vizuri
 
Maelezo yako ya hapo juu hayakutaja milioni 9. Ulitaja 2m na 7m
Kama uliomba 9m na ukapewa 7m na mkopo wa awali unaendelea kuulipa then uliwahi kuuliza zile 2m kwenye 9m zilienda wapi? Umeomba bank statement yako na kuona wao benki walikuingizia kiasi gani? Mkopo mpya unalipa wa 7m au 9m? Kama ni 7m je hiyo 9m unayoisema wewe iko wapi?
Una uhakika kuwa mkopo uliokuwa approved ni 9m? Maana unaweza kuwa ulipmba 9m lakini ikawa approved 7m.
Any way kama kweli una ushaidi kwamba ulipewa mkopo wa 9m na unakatwa makato ya 9m lakini kwenye account yako zikaingizwa 7m na bado mkopo wa awali unaendelea kukatwa then una haki ya kulalamika na hili ni jambo ambalo lipo straight foward labda wewe tu ndio umeshindwa kujieleza vizuri
Mimi na maafisa utumishi tulisaini mkopo wa Milioni 9 jumla na Deni kulipwa, na ushahidi mwingine makato ya mkopo mpya Ni yake Yale ya Milioni 9 kwa miaka 6.

Nilitaja Milioni mbili na Milioni Saba tofauti tofauti ili iwe rahisi kunielewa Ila jumla Ni Milioni Tisa.
 
Hiyo inaitwa consolidation, uliunganisha mkopo uliokuwa umesalia wa 2m pamoja na mkopo ulioomba wa 7m na kupata mkopo mpya wa 9m.

Unless huu mkopo mpya wa 9m labda ungepewa muda mrefu zaidi wa kulipa ili rejesho la mkopo uweze kulimudu otherwise inaweza kuwa vigumu kumudu kulipa marejesho ya mikopo yote miwili.
Nadhani haukupata ushauri mzuri kabla ya kuchukua huo mkopo wa pili. Ilitakiwa either mkopo wa 2m bila riba upunguzwe kwenye 7m ili ubaki na mkopo mmoja wa 7m au endapo ingeunganishwa then muda wa mkopo wa 7m ulitakiwa uwe mtefu zaidi ili ikijumlisha na balance ya 2m rejesho lake uweze kulimudu.

Otherwise kulingana na maelezo uliyotoa benki wako sahihi, mkopo wa 2m marejesho yake hayajaisha na huo wa 7m pia unatakiwa kulipa. Hapo labda ukaongee nao wafanye walichotakiwa kufanya wakati unaomba mkopo wa pili, kukuongezea muda wa kulipa ili uweze kumudu rejesho
Pia kumbuka kwenye mfumo wa ESS Banki moja haiwezi kupandisha mikopo miwili Ni lazima mkopo wa Kwanza, wa pili, watatu, wanne nk uwekwe pamoja ili uweze kukubaliwa na mfumo. Ndiyo wanaita (Top up)

Yaani unaweza ukatop up Mara ya Kwanza, ukatop up Mara ya pili ,Mara ya tatu n.k......
 
Back
Top Bottom