Ninawiwa kusema huyu MC Gara B anapendwa mno na hawa wanawake!

waambie kuna chuma kinaitwa William
 
Wanawake bwana, usijekuta hata huyo mtoto mtakayemzaa atamuita Gara B Mkulungwa01.
 
Seminari haijawahi kutoa product mbovu.
 
Wewe Mc ni kiazi mbatata kilichooza!

Mimi nipo ngara, afu wewe upo kinondoni, unajipigia promo humu Jf au unafikiri unajulikana hadi Rorya?
 
Wewe ni chawa wa huyo jamaa?
 
huwa unaboa sana wewe MC
 
Wanataka ku trend wakikata viuno
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…