ISO M.CodD
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 7,845
- 16,942
Unataka kunitunuku?Wewe una hayo yote?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unataka kunitunuku?Wewe una hayo yote?
Mc Gara who? when? where? when?whaaat???Jamani mbona mimba ya mkeo ndefu Sana....hajajifungua bado?
Mc Gara whaaat?
Rugarabamu!Godfrey Deogratias Rugarabam (MC Gara B).
Itakuwa makaterero[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]muhaya kawadatisha watoto wakareeee
Alafu wanaliwa bure kbsaWanawake wanapenda attention.. ndivyo walivyo; hivyo si ajabu wakawa wanavutiwa na vitu vinavyotajwa tajwa ili na wao waonekane
Ndiyo maana wanawake hushobokea celleb
Tofaut na sisi wanaume ambao kwa kawaida huwa tunajali mambo yetu
Wanatia maudhi dahHivi wanawake wanawatesaje hivi?
[emoji23][emoji23][emoji23]Kuna mdada mmoja kazini kwetu aliiambia kamati ya hharusi kuwa "No gara b no hharusi"
Huyo kama alifanikiwa kuolewa pole kwa mmeweKuna mdada mmoja kazini kwetu aliiambia kamati ya hharusi kuwa "No gara b no hharusi"
Aliolewa na gara b alikuwa MCHuyo kama alifanikiwa kuolewa pole kwa mmewe
Ndio madhara ya kuwapigia watu magoti kuwaomba uwaoe.Aliolewa na gara b alikuwa MC