Elections 2010 Ninayatambua na kuyakubali matokeo yanayotangazwa na tume

Elections 2010 Ninayatambua na kuyakubali matokeo yanayotangazwa na tume

herufi za mwanzo za majina yangu matatu ni CCM, dhambi iko wapi? unaweza kuendelea kuchakachua ili kung'amua majina halisi. Mmeanza kutafiti nani huyu anajiita CCM badala ya kuangalia huyu mtu anasema nini hapa! Mnapenda kupindisha mada ilimradi tu mpoteze umma. Matokeo ndio hayo yanakamilishwa na hakuna hata sehemu moja ambapo uchaguzi wa rais ulirukwa ukiacha kasoro fulani katika maeneo ya wabunge na madiwani. Jumlisheni hizo kura ili mhakikishe kuwa huyo anayetajwa ndiye mshindi.

kwa wehu kama wewe tunahitaji tuwajue ili siku kikinuka tuanze na nyie,..si mnaiba kura mkijivunia dola, tukianza chapana hapa hata hiyo dola itkiona tuu, kwani hiyo dola si tunaishi nayo humu humu mitaani..hawaishi mbinguni rite..so ndo maana tunataka kukujua..hatuna haja na hoja yako cuz' ni pumba tuu..
 
CCM said:
Mgefurahi tu na hako kaushindi kadogo mlikopata na mkatulia kupanga mikakati ya kutukabili tena 2015 mkitambua kuwa hatujalala bado.
matokeoawali.jpg


Kweli hamjalala, mliwajenga watu kisaikolojia kuwa mwananchi anaweza kuchagua mbunge na rais toka vyama tofauti; kwa haya majimbo mawili mmefanikiwa KWELI maana hakuna reflection ya hulka za watu wa Nyamagana na Iringa mjini! Only justification inabaki kwenye uhalisia wa kutolala kwenu na biased NEC!!​
 
Mimi nina shaka na huu utaratibu wa kuyataka matokeo ya uraisi yatangazwe tu na tume ya uchaguzi ya Taifa,hapa ndio napata mashaka kwani tume yenyewe si huru kwa kuwa walio pale wote ni wateule wa raisi hivyo si rahisi kutenda haki pale wanapoona aliyewateua hafanyi vizuri,natumai mifano tunayo kama vile Kenya.
Kwani matokeo haya inashindikana vipi kutangazwa kama ilivyo kwa wabunge?Kuna jambo gani la siri katika hili?Hata kama tume ina haki ya kutangaza kwanini wananchi hawapewi nafasi ya kujua walichochagua pale pale wanapotangaziwa matokeo ya madiwani na wabunge?
Kuna mambo ya msingi ya kuangalia hapa na kwa kujali maslahi ya taifa na kuweka uzalendo mbele bila kutanguliza ushabiki tunaona kuwa bado tutaendelea kuwa na migogoro wakati wa uchaguzi kama tume ya uchaguzi haitakuwa huru na sheria zake kubadilishwa.
Nawapongeza wote wanaendelea kupambana kwa ajili ya mabadiliko maana ndio msingi mkuu wa maendeleo yetu watanzania bila kujali rangi,jinsia,itikadi,dini wala kabila.
 
kwa wehu kama wewe tunahitaji tuwajue ili siku kikinuka tuanze na nyie,..si mnaiba kura mkijivunia dola, tukianza chapana hapa hata hiyo dola itkiona tuu, kwani hiyo dola si tunaishi nayo humu humu mitaani..hawaishi mbinguni rite..so ndo maana tunataka kukujua..hatuna haja na hoja yako cuz' ni pumba tuu..

great thinker anayewaza kuchapana hovyo na sio katika ballot box......... good thing the media is not influenced with your deadly plots.
ASIYEKUBALI KUSHINDWAAAAAAAAAAAAA
 
ukipenda,chongo utasema kengeza............ccm=chakachua sports club
 
Matokeo ya Bagamoyo au ya Urais nchi nzima?Atakuwa rais wa wakwere ila sio sisi wengine. Najua mnafurahia umasikini wenu huo na hamna cha kupoteza, so go to hell with your ccm. Soon or later you will know what is the source of all evils that happened in Kenya,Rwanda,Burundi and other places.

mbaya zaidi ni kwamba wakwere ni taifa ambalo linaongoza kwa umbumbu hapa nchini isitoshe liko nyuma kimaendeleo
 
So ulitaka nisaini kwa jina gani. How is someone goes low by supporting CCM? Your dream was CHADEMA or CUF to score 100%! Not possible in any democratic setting. Mgefurahi tu na hako kaushindi kadogo mlikopata na mkatulia kupanga mikakati ya kutukabili tena 2015 mkitambua kuwa hatujalala bado.


Sasa kawaambie hao waliukutuma, kama kweli CCM ina jeuri kwamba inapendwa, chaguzi zijazo zifanyike kwa mtindo wa evoting, hakuna cha wachumia tumboni Nec(shingo) wala wakurugenzi wa halmashauri, muone kimbembe chake.

Waizi wakubwa nyie.
 
Sasa kawaambie hao waliukutuma, kama kweli CCM ina jeuri kwamba inapendwa, chaguzi zijazo zifanyike kwa mtindo wa evoting, hakuna cha wachumia tumboni Nec(shingo) wala wakurugenzi wa halmashauri, muone kimbembe chake.

Waizi wakubwa nyie.

Sijatumwa na mtu ***** wewe! Au kakutuma nani wewe? Mnaniudhi mnapodhania dhania vitu na kuvifanya kweli. Mimi natoa maoni yangu halafu unasema nimetumwa. Utumwa ulikomeshwa tangu zama zile. Nataka kuanzia sasa wana JF mnijibu kwa hoja na si kwa maswali au kauli za ki-partisan ambazo haziwasaidii wala kunisaidia.
 
Sijatumwa na mtu ***** wewe! Au kakutuma nani wewe? Mnaniudhi mnapodhania dhania vitu na kuvifanya kweli. Mimi natoa maoni yangu halafu unasema nimetumwa. Utumwa ulikomeshwa tangu zama zile. Nataka kuanzia sasa wana JF mnijibu kwa hoja na si kwa maswali au kauli za ki-partisan ambazo haziwasaidii wala kunisaidia.
Kauli ipi ya kipartisan nimeitoa? Halafu utaingia na IDs nyingi tu lakini bichwa lako lililojaa miuji na samadi bado ni lilelile.
 
Kauli ipi ya kipartisan nimeitoa? Halafu utaingia na IDs nyingi tu lakini bichwa lako lililojaa miuji na samadi bado ni lilelile.

Kwani JF ni forum ya watanzania au ya wateule fulani? (tena wenye matusi lukuki). Kama jibu ni 1, jiheshimu ili tudumishe amani. Ikikosekana humu mktk web huko mtaani itakuwaje?
 
Akitokea member mwenye itikadi tofauti na nyie na kutoa maoni yake, kwa nini mnamtukana? Ina maana itikadi yenu ndio bora zaidi kuliko itikadi za wengine? Wote hatuwezi kufanana kimtazamo au kiitidadi, tuheshimiane kwa tofauti zetu kwani hakuna aliyebora kumliko mwingine hapa duniani. Hudhurieni tena somo la demokrasia.
 
Akitokea member mwenye itikadi tofauti na nyie na kutoa maoni yake, kwa nini mnamtukana? Ina maana itikadi yenu ndio bora zaidi kuliko itikadi za wengine? Wote hatuwezi kufanana kimtazamo au kiitidadi, tuheshimiane kwa tofauti zetu kwani hakuna aliyebora kumliko mwingine hapa duniani. Hudhurieni tena somo la demokrasia.

Waambie @uwiano, au kama vipi mfanye kudeclare JF not for CCM supporters.......shame on you, eti great thinkers!
 
Hata Hitler nae aliingia madarakani kwa kuchaguliwa na wajinga waliyatambua matokeom na istoshe huo ni mtazamo wako usituletee hapa nenda kaujadili kwenye bblog ya michuzi
 
Back
Top Bottom