Ninayempenda Nisiyemjua Kanitolea Nje

Ninayempenda Nisiyemjua Kanitolea Nje

Status
Not open for further replies.
Wapwaz na Binamuzi wote.

Mtakumbuka niliwahi kuanzisha masa hapa ikisomeka"nimempenda mtu nisiyemfahamu-sijawahi kumuona" niliomba ushauri na nilipata ushauri toka kwa baadhi yenu ya namna ya kumwambia..Nilikuwa nachat naye mara nyingi,kila akiwa hewani nilikuwa siachi kumsalimia na kuzungumza naye mawili matatu,kifupi ni mtu pekee humu JF niliyemzoea sana na kuweza kumwambia chochote kinachonihusu bila kumficha.Na katika kumzoea huku kukanifanya nizidi kumpenda.Baada ya kuzoeana naye Nilijikaza nikamwambia ukweli,jamaa akachomoa,nikaendelea kuvumilia na kuendelea kumsisitiza,hivi karibuni ameniambia ana mtu,nimeumia sana kwani nilkuwa najifariji huenda akawa hana mtu...Kifupi ni kwamba kanitolea nje..Nampenda..Niko njia panda sijui nifanyeje.....

Wenu katika majonzi
Gender Sensitive....
Pole sana ndugu, njoo kwangu mi sina mtu nafasi iko wazi..
 
ya nini malumbano...

Hahahahahaha! Nimekuzawadia hii

The Following User Says Thank You to Kaizer For This Useful Post:
Chrispin (Today)


Na red apple moja kwa hii yuzifuli posti.........................
 
Mimi huwa nasikizaga watumishi wa Mungu na wala si wanaharakati wa Jinsia hata kama wako sensitivu kiasi gani.....:closed_2:

Kusikiliza maaskofu peke yao bila wanaharakati ni kutojitendea haki hasa katika kipindi hiki cha viongozi wetu wa dini kutokuwa waaminifu..aah natania tu!
 
Kusikiliza maaskofu peke yao bila wanaharakati ni kutojitendea haki hasa katika kipindi hiki cha viongozi wetu wa dini kutokuwa waaminifu..aah natania tu!

Ahaaaa.... ndio maana hukuonekana??

Anyway, usiwe na hofu na huduma zetu, najitolea kukufanyia maombi Jumamosi na Jumapili, uje tu usiogope mpendwa..
 
kila anayependa angekubaliwa kupendwa na kuoana na ampendaye dunia ingekuwa kama mbingu. Familia nyingi ziko kwenye mahusiano ya ndoa kwa kuwa wamekubaliana kuoana na siyo kwamba wanapendana sana. Wengine wamepeana mimba suluhisho likawa ni kuoana. Ninachotaka kumwambia mtoa mada ni kuwa yule moyo wake unampenda kwa thati hatakuwa tayari kuolewa naye, ataangukia kuoana na mwingine anayempenda yeye ingawaje yeye hampendi kwa thati, lakini ili kwenda na umri maana lazima uoe au uolewe ukifika umri wa utu mzima itakuwa hivyo. Hata kama upendo haupo toka pande zote, mtaunganishwa na watoto.
 
kila anayependa angekubaliwa na kuoana na ampendaye dunia ingekuwa kama mbingu. Familia nyingi ziko kwenye mahusiano ya ndoa kwa kuwa wamekubaliana kuoana na siyo kwamba wanapendana sana. Ninachotaka kumwambia mtoa mada ni kuwa yule anayependa kwa thati hatakuwa tayari kuolewa naye, ataangukia kuoana na anayempenda sana ingawaje yeye hampendi kwa thati, lakini ili kwenda na umri maana lazima uoe au uolewe ukifika umri wa utu mzima itakuwa hivyo. Hata kama upendo haupo toka pande zote, mtaunganishwa na wato

Ni kweli Vicenti kama ingekuwa hivyo duniani kungekuwa kuna raha kama paradise lakini mambo ndio yako kinyume sana ..mfano hai GS kampenda mtu bad lucky hajapendwa ..:A S 39:
 
Ahaaaa.... ndio maana hukuonekana??

Anyway, usiwe na hofu na huduma zetu, najitolea kukufanyia maombi Jumamosi na Jumapili, uje tu usiogope mpendwa..

Mtoa mada tayari ni majeruhi wa mapenzi kuja huko kwako kutafuta wa kumpoza atampata aliye huru au aliyejeruhiwa kama yeye? Nathani angejituliza haya mambo hayafanywi kwa haraka
 
[SIZE=3 said:
Asprin[/SIZE];973804]Hahahahahaha! Nimekuzawadia hii

The Following User Says Thank You to Kaizer For This Useful Post:
Chrispin (Today)


Na red apple moja kwa hii yuzifuli posti.........................

whaT?>>>>>>>>>>>
 
Hi thredi itaisha na wed kap nini....? eti GS??
 
Dah! Naona mang'amung'amu huku tu kwani sielewi hata somo. Unampenda mtu bila kumwona? Ila wanawake ndio wako hivyo zaidi
 


Wakati mwingine Mungu hakupi kila unachohitaji, na huwa na sababu njema kwa hilo... kubali matokeo... wakati utafika na atapatikana mwengine aliewekwa kwa ajiliyo...hongera kwa ujasiri wa kuonesha nia njema kwake.. na hongera kwake kwa kuwa mkweli!!:A S-rose:


Mkeshahoi,
Wewe ni mtabiri? Ulimtabiria vizuri sana ndugu yetu GS. Huenda matamanio yake kwa huyo mtu aliyemdondokea yangefikiwa, huu mchakato wa kupata vikubwa zaidi ungempitia mbali sana.
 
Mkeshahoi,
Wewe ni mtabiri? Ulimtabiria vizuri sana ndugu yetu GS. Huenda matamanio yake kwa huyo mtu aliyemdondokea yangefikiwa, huu mchakato wa kupata vikubwa zaidi ungempitia mbali sana.

...yeeap, lakini watu walivo wanafiki kwenye malavidavi, wacha GS aingie mjengoni....utamsikia huyo jamaa...oooh sorry nisamehe, was in love too but utoto tu sijui bla bla tuuuu.......aaah!
 
...yeeap, lakini watu walivo wanafiki kwenye malavidavi, wacha GS aingie mjengoni....utamsikia huyo jamaa...oooh sorry nisamehe, was in love too but utoto tu sijui bla bla tuuuu.......aaah!

Next Level,
Sikuwa nimefikiria upande huu wa shilingi. Huenda akajilaumu kwa kupoteza fursa adimu.
 
...yeeap, lakini watu walivo wanafiki kwenye malavidavi, wacha GS aingie mjengoni....utamsikia huyo jamaa...oooh sorry nisamehe, was in love too but utoto tu sijui bla bla tuuuu.......aaah!

Think big ...:A S 39:
 
...yeeap, lakini watu walivo wanafiki kwenye malavidavi, wacha GS aingie mjengoni....utamsikia huyo jamaa...oooh sorry nisamehe, was in love too but utoto tu sijui bla bla tuuuu.......aaah!

Next Level,
Sikuwa nimefikiria upande huu wa shilingi. Huenda akajilaumu kwa kupoteza fursa adimu.

Think big ...:A S 39:

Maombi yangu yalifanikiwa... alishamdiliti... sasa tumuombee apite na huo mtihani mwingine...
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom