Ninayetaka kumuoa ana mchepuko mwingine

Yani unagongewa bado unakuja kuomba ushauri...acha uboya
 
Sikiliza moyo wako.....kama moyo wako unasema muache....basi muache....kama moyo wako hautaki kumuacha, sisi hata tukishauri haisaidii...muamuzi wa mwisho ni moyo wako
 
Kuna single mama mmoja binti wa miaka 25, nimekuwa naye kwenye mahusiano
Kanuni ni zilezile inapohusu single maza

●Hatulei bao la mwanaume mwingine

●Mwanaume anatakiwa aanzishe familia yake sio ajiunge kwenye familia ya mwanaume mwenzake

●Single maza waolewe na baba za watoto wao

●Single maza ni wa kupiga na kusepa

Ni mwanaume mpumbavu na mjinga tu ndiye anayeweza kumuoa single maza

Learn or perish
 
Kwa kufa bila mke au mume ni dhambi? Wateule wa ndoa ni wachache mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…