Ninayetaka kumuoa ana mchepuko mwingine

Ninayetaka kumuoa ana mchepuko mwingine

Ndugu yangu kwa mimi naendelea kuamini ili upate mke wa maisha yako mengi sana. Mke anapatikana kwa njia mbili tu nje ya hapo ni suala la muda tu ndoa inavunjika.
1: Mke mwema mtu anapewa na Mungu. Ili Mungu akupe mke hakikisha wewe unaishi maisha matakatifu ndipo unapata toka kwa Bwana. Mungu akikupa mke mtaishi milele.

2: Kama mahusiano ya mtu na Mungu sio mazuri asitegemee kupewa mke mwema na Mungu. Mtu wa hivyo anapaswa atafutiwe mke na wazazi wake. Wazazi wakisema oa binti huyu toka familia hii basi utaishi ndoa bora sana.

Nje ya hayo mawili watu wanaoana kufarijiana tu lakini hawadumu. Mke ambae Mungu wala wazazi hawajahusika kukupatia ujue imekula kwako ni suala la muda tu.
 
Habari zenu? Kuna single mama mmoja binti wa miaka 25, nimekuwa naye kwenye mahusiano Kwa karibu mwaka mmoja na sasa hivi ana ujauzito wangu wa miezi 5. Ila ana mtoto wa miaka mitano aliyezaa na mwanaume mwingine. Huyo mwanaume walishaachana kitambo tangu mtoto akiwa ana mwaka na jamaa huwa anatuma fedha za matumuzi tu.

Sasa Mimi nikawa nimevitiwa na huyo dada kutokana na uchapakazi wake, na hata dukani ana kauli NZURI Kwa wateja na ana mkono wa Biashara kweli kweli. Nikaona huyu ndiye mwanamke wa kuanza naye maisha japo nawaogopa ma single mother ila nikaamua Nile ngumu.

Cha ajabu majuzi nimekuta msg za mwanaume mwingine kwenye simu, Tena sio baba mtoto wake ila mwanaume mwingine kabisa na walikuwa wnapanga miadi ya kuonana waka vunje amri ya sita. Sasa kilichonishitua zaidi ni binti huyu kuwa na uthibutu wa kuchepuka akiwa mjamzito Tena Tumbo tayari limeanza kuonekana. Hivi akishajifingua itakuwaje?

Sasa hapa niko dilema sijui nifanyaje coz ujauzito ni kweli WA kwangu Nina uhakika asilimia 98, na binti ni mchapa kazi Yana ana sifa zote za kuwa mke. Ila kilichonishitua ni hiyo tabia yake. Najiuliza kama itakuwa sahihi kumuacha akiwa mjamzito?

Na pia nilipomuuliza kuhusu huyo MCHEPUKO alijotetea akasema ilikuwa ni chatting tu, coz ni mwanaume wake wa zamani sana ila hawajafanya chochote, na ameshamwambia kuwa yeye ni mchumba WA mtu hivyo hakuna kinacho endelea kati yao.

Mnanishaurije hapo wadau?
Hivi wewe dogo si ulishaleta topiki hapa kuwa wazazi wako hawamtaki huyu binti na tukakushauri?
Ona sasa kumbe huyo demu pia unachapiwa tena akiwa na mimba kabisa (nahisi sio yako umepangwa tu kwa ujinga wako)
 
naaandika hili kwa hasira iliyo ambatana na masikitiko makubwa

Taifa linazidi kupoteza vijana aisee.. ata hili tukushauri ila anyway kupanga ni kuchagua

mkuu usihusishe hisia swala la akili ... kifupi temana nae leo mwanao. heri tahadhal kuliko majanga.

last vya mjinga huliwa na mwerevu chagua upande
 
Habari zenu? Kuna single mama mmoja binti wa miaka 25, nimekuwa naye kwenye mahusiano Kwa karibu mwaka mmoja na sasa hivi ana ujauzito wangu wa miezi 5. Ila ana mtoto wa miaka mitano aliyezaa na mwanaume mwingine. Huyo mwanaume walishaachana kitambo tangu mtoto akiwa ana mwaka na jamaa huwa anatuma fedha za matumuzi tu.

Sasa Mimi nikawa nimevitiwa na huyo dada kutokana na uchapakazi wake, na hata dukani ana kauli NZURI Kwa wateja na ana mkono wa Biashara kweli kweli. Nikaona huyu ndiye mwanamke wa kuanza naye maisha japo nawaogopa ma single mother ila nikaamua Nile ngumu.

Cha ajabu majuzi nimekuta msg za mwanaume mwingine kwenye simu, Tena sio baba mtoto wake ila mwanaume mwingine kabisa na walikuwa wnapanga miadi ya kuonana waka vunje amri ya sita. Sasa kilichonishitua zaidi ni binti huyu kuwa na uthibutu wa kuchepuka akiwa mjamzito Tena Tumbo tayari limeanza kuonekana. Hivi akishajifingua itakuwaje?

Sasa hapa niko dilema sijui nifanyaje coz ujauzito ni kweli WA kwangu Nina uhakika asilimia 98, na binti ni mchapa kazi Yana ana sifa zote za kuwa mke. Ila kilichonishitua ni hiyo tabia yake. Najiuliza kama itakuwa sahihi kumuacha akiwa mjamzito?

Na pia nilipomuuliza kuhusu huyo MCHEPUKO alijotetea akasema ilikuwa ni chatting tu, coz ni mwanaume wake wa zamani sana ila hawajafanya chochote, na ameshamwambia kuwa yeye ni mchumba WA mtu hivyo hakuna kinacho endelea kati yao.

Mnanishaurije hapo wadau?
Picha umeiona au wahisi photoshop unataka video. Subiri utaiapta kwenye ndoa video.
 
Back
Top Bottom