ππ mkuu mimi yangu yanakuwaga wazi tu hata sijifichagi,Nafikiri huyo ni wewe si ndio?, na ushafanya hayo maamuzi,, na unataka public opinions...
Ok, umeshauri vizuri tu... Lakini Mapenzi ni ugonjwa wa akili...
Acha watu wapiganie penzi hadi mwisho... ndio watapona.
wachumba hata hawa jatambulika hadhalani
Hakika...
Basi ni wapenzi tu. Mpe dedication ya "nalivua pendo by Mwasiti"wachumba hata hawa jatambulika hadhalani
Hujaongea vibaya umeandika tukwahiyo nijiandae na mawili.
ila kwani nimeongea vibaya