Ningejua mapema nisingesoma advanced secondary education, it is completely a wastage of time and resources

Ningejua mapema nisingesoma advanced secondary education, it is completely a wastage of time and resources

Ulikimbilia kushika nafasi ya kazi.., ngazi ya certificate au diploma serikalini ngazi na kiwanco Cha mshahara ni kama utani!

Nashukuru Mungu nililiona hili nilipomaliza form 4 nikaenda college nikamaliza nikapata kazi mapema nawaza kuendelea sasa na ngazi nyingine


Sent using Jamii Forums mobile app
 
hapana Kaka
labda nikueleweshe jambo Moja

endapo ukiwa techinician Basi degree hutoisotea kwa miaka mi 4 Bali itakuwa mi 3.

Kama ukimaliza diploma ukasema uunge na degree Moja kwa moja
in maana utamaliza sawa na wenzako, ambao ulisoma nao o level. na wao wakaenda advance!

lakini huwa tunapendaga kwenda kazini kwa sababu gani ujue?!

katika kada ya uinjinia,watu ambao wanasoko na wanasemekana Wana moral ya kazi Ni Hawa wa diploma ambao huwa ma technician tofauti na ambao wamemaliza KABISA degree.
then ma injinia wenye soko now Daz Ni wale ambao walianza kuwa ma technician (diploma) then badae wakaenda kusoma na kuwa full engineer (degree)

u know why?! injinia aliyepitia diploma yupo more advanced na ana skills na knowledge nyingi kuliko huyo wa 4m 6!

then,endapo ukasoma diploma afu ukaenda kazini, possible
Kama utaenda kusoma mbeleni ofisi itakusomesha (kwa,watu walio serikalini)
.au inaweza isikusomeshe bt mshahara ukawa pale pale


lakini Kama ukiwa ndani ya kampuni na ukaenda kusoma,nafasi yako hutunzwa na unapomaliza unaendelezea

hahahaha acheni kukaririshwa kuhusu advance Level ndugu zangu
Miaka mitatu ni kama tunaendelea kwenye vyuo cha ufundi hivo hivo kama DIT.Ila ukienda chuo kama UDSM utapiga miaka minne.Alafu mimi naona waliopitia diploma degree huwa wanateseka sana kwa chuo kama UDSM.
 
Sijui tunashindwa kuelewana wapi!
Ina maana unanionea wivu au?!

Au hizi I'd za Jf Zina kuzuzua?

kwani unadhani hiyo sifa Sina??

au unataka nimwage identification yangu?!

Wabongo bhnaaa!
Hayo yote unayosema
nayajua na nayaelewa
na ndiyo maaan nikasema

navizia tour ya USA kusoma
kwani mwanzo nilivyoenda South ilikuaje?!

Haya maisha Kaka ,kila mtu ana njia zake za kutoboa

Nawap Pole Sana walionda 6
Mie niseme asante kwa kuzingatia mstari wa mwisho hapo.
Ila nina mpango wa kuanza upya wa kwenda technical college.

SUKAH...
 
Mimi Nimezungusha Zero O-level na nikaona wazi kuwa Sikuwa na uwezo wa Kusoma na Nikaamua Kujiajiri ndiyomana Ninaona hata anayeishia O-Level anapoteza muda coz ukishamaliza chuo unaishia kutembea na Bahasha tu bila ya ajira
 
Hapana inategemea a level ulisoma nn,mimi a level nilisoma pcb kisha nikaenda chuo diploma nikasoma horticulture ila kuna tofauti kubwa baina ya muhitimu alietokea form four akaenda cheti kisha dip na yule alietoka form six akaenda dip. Elimu ya advance inafungua sana akili na unaelewa mambo kiundani pia kumbuka inakupa nafasi ya kuanza na dip au degree wakati form four anaanza na cheti.
Jiulize wangapi form four wameenda cheti na wamefeli???
Ukisoma six una uwanja mpana sana division yangu 3 ya Alevel ningeweza kwenda degree ila nilitaka haswa kilimo ambapo sua wangenisumbua kunipokea. Usijutie maamuzi yako kamwe
 
Mie niseme asante kwa kuzingatia mstari wa mwisho hapo.
Ila nina mpango wa kuanza upya wa kwenda technical college.

SUKAH...
karibu mkuu
unaenda kwa kutokea 6 au 4?!

kama unatokea 6 au 4 kwa kujipeleka zile allowance hazikuhusu

Kama ndiyo umemaliza
4 na mwezi wa 7 ukapangwa technical college Basi Kaka hapo zile allowance zitakuhusu..

Karibu Technical College
huku Ni mwendo wa skills& knowledge
 
Miaka mitatu ni kama tunaendelea kwenye vyuo cha ufundi hivo hivo kama DIT.Ila ukienda chuo kama UDSM utapiga miaka minne.Alafu mimi naona waliopitia diploma degree huwa wanateseka sana kwa chuo kama UDSM.
Kwa udsm utapiga mi 4 lakini kwa vyuo vingine huwa mi 3

hata ukiwa DIT utapiga mi 3 lakini ukienda maji unasotea mi 4!!!

Diploma hataseki degree


kinachomtesa labda Ni hesabu TU kwa kada za uhandisi lakini kwenye modules zingine huwa ana petaa
 
karibu mkuu
unaenda kwa kutokea 6 au 4?!

kama unatokea 6 au 4 kwa kujipeleka zile allowance hazikuhusu

Kama ndiyo umemaliza
4 na mwezi wa 7 ukapangwa technical college Basi Kaka hapo zile allowance zitakuhusu..

Karibu Technical College
huku Ni mwendo wa skills& knowledge
Asante sana, najipeleka mwenyewe kaka.

O'level nlisoma technical school, sijui kichaa gani kikanipanda nkaenda advance.

Nipo kazini kwa sasa ila sina aman kabisa, naiwazia engineering tu.

Mbaya zaidi nlisoma EGM japo sifa za PCM nlikuwa nazo. Tatizo EGM hainipi favor kwenye engineering kwa level ya bachelor.

SUKAH...
 
Hivi kama ulipitia Advance na ukafaulu kwa combination uliyoipenda kuna nini cha kujutia?. Mimi sijutii hata kidogo kusoma Advance, kwa kozi niliyosoma wale waliotoka diploma (ambao hawakusoma A level ) walikua wanapata tabu sana kwenye kusoma.

Mtu anayepaswa kujutia ni yule aliyefeli kwa sababu Ile miaka miwili anakua kama aliipoteza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Hapo mwishoni nimepapenda.
Nashangaa
madogo wanapambana kwenda advance then baada ya miaka mi 2 wanaanza Tena stage Nyingine

unakuta mtu anaenda kusoma
Pcm miaka mi 2
then baada ya hapo,anaenda chuo let's say kafaulu vizuri anasoma 4yrs kuwa injinia

baada ya hapo,anaanza kupambana na soko

wakati
angeenda zake college
akapiga let's say civil 3 yrs

so,wenzake wakiwa first year yeye ndo anamaliza chuo!

hapo anaenda zake kupiga kazi,
kwa 3 yrs then anaenda zake kuchukua Gamba
Tena akiwa ndani ya system

hii formula ni nzuri Sana

lakini,tuache UNAFIKI.
College Ni pa Gumu Sanaa kwa mtu wa O Level

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli kabisa,tena pangekua na kozi za Mambo ya ufundi kama yatolewayo na VETA hata miezi sita tu na hiyo iwe ni katika mfumo wa elimu ya O'level.Ukitoka hapo ndo uchague pa kwenda.
Hata O level warekebishe mwanafunzi akimaliza form 4 angalau awe anajua kufunga nyaya za umeme au kufungua bolt kwenye engine

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ahhaha
nilisanuka mapema
nilichagua technical college
nikaenda zangu
ile natoka tu, na kazi hapo hapo ya 2 mill per month

Baada ya miaka mi 3 ya kazi
nikaenda zangu south kuchukua degree

ile narudi bongo
nuksi hiyo imeingia (jiwe).

hapa.nafikiria kwenda HAVARD au Caltech kupiga masters

all in all kila mtu ana njia zake za kutoboaa

japo wale walioenda advance wengi wemeishia kushika chaki
na wengine mpaka leo wanadaiwa 13% ya heslb

wakati huo c e Ni mwendo wa kitonga tu
Umeongea vizuri lakini kuna kazi bila form ,6 utakosa opportunities nyingi. Kila kitu kina faida na hasara zake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom