Ningejua nisingezini kabla ya Ndoa!

Ningejua nisingezini kabla ya Ndoa!

Mkuu Cha kukushauri Anza kula vizuri, matunda kwa wingi, zingatia mazoezi na upate isingizie wa kutosha
Katika watu ambao nilikua najivunia uplayer na kuchezea wanawake basi mimi ni miongoni mwao.Sina idadi kamili ya wanawake ambao nilishawahi kuwachezea,kumbukumbu zangu hata haisebiki. Mtu mwenye akili hutulia na mpenzi mmoja! Hii ni dhahiri huna vitu vingi vya kuwaza ukitulia na wa kwako mmoja!
 
Katika watu ambao nilikua najivunia uplayer na kuchezea wanawake basi mimi ni miongoni mwao.Sina idadi kamili ya wanawake ambao nilishawahi kuwachezea,kumbukumbu zangu hata haisebiki. Mtu mwenye akili hutulia na mpenzi mmoja! Hii ni dhahiri huna vitu vingi vya kuwaza ukitulia na wa kwako mmoja!
Hukumbuki [emoji848]! Mh, itakuwa ulifika digit 3 - ulikuwa unamfukuzia Wilt Chamberlain [emoji23]
 
Katika watu ambao nilikua najivunia uplayer na kuchezea wanawake basi mimi ni miongoni mwao.Sina idadi kamili ya wanawake ambao nilishawahi kuwachezea,kumbukumbu zangu hata haisebiki. Mtu mwenye akili hutulia na mpenzi mmoja! Hii ni dhahiri huna vitu vingi vya kuwaza ukitulia na wa kwako mmoja!
Ila haya maisha haya, wakati wewe unawaza hivyo kuna anayesema ningejua ningezini kabla ya ndoa[emoji23][emoji23]
 
Katika watu ambao nilikua najivunia uplayer na kuchezea wanawake basi mimi ni miongoni mwao.Sina idadi kamili ya wanawake ambao nilishawahi kuwachezea,kumbukumbu zangu hata haisebiki. Mtu mwenye akili hutulia na mpenzi mmoja! Hii ni dhahiri huna vitu vingi vya kuwaza ukitulia na wa kwako mmoja!
Lakini si umepata uzoefu?Na raha (uroda) ulipata.
 
Pole kiongozi
JamiiForums-449879137.jpg
 
Back
Top Bottom