Ningejua nisingezini kabla ya Ndoa!

Mkuu Cha kukushauri Anza kula vizuri, matunda kwa wingi, zingatia mazoezi na upate isingizie wa kutosha
 
Hukumbuki [emoji848]! Mh, itakuwa ulifika digit 3 - ulikuwa unamfukuzia Wilt Chamberlain [emoji23]
 
Ila haya maisha haya, wakati wewe unawaza hivyo kuna anayesema ningejua ningezini kabla ya ndoa[emoji23][emoji23]
 
Lakini si umepata uzoefu?Na raha (uroda) ulipata.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…