Ningekuwa kwenye benchi la ufundi la Simba SC ningependekeza kikosi hiki hasa kwenye mechi dhidi ya Yanga

Ningekuwa kwenye benchi la ufundi la Simba SC ningependekeza kikosi hiki hasa kwenye mechi dhidi ya Yanga

Kwani siku hizi Deborah Mavambo kapotelea wapi naona hazungumziwi kama zamani au alikuwa gesi ya soda tu.
 
Hello!

Simba kama timu kubwa Africa ni lazima uchukuaji wake wa vikombe hasa vya ligi kuu viwe ni lazima angalau isipite miaka 3 bila kunyenyua ndoo. Lakini kwa trend hii ya kudondosha point kwenye mechi muhimu, suala la vikombe kwenda msimbazi linaweza kusubiliwa sana.

Mechi kati ya Simba na Yanga inaweza kuamua Simba ibebe au isibebe ubingwa wa msimu wa 2024/2025.
Kutokana na Yanga kuwa Bora sana kwenye safu yake ya kiungo na ushambuliaji ni vyema Simba nayo ikaja na watu wa Kasi sana mbele ili kuzima mashambulizi ya timu pinzani.
Kikosi ambacho ningependekeza kianze dhidi ya Yanga ni hiki;


Radack Chasambi na Dese Mukwala wataanza kwenye kikosi kutokana na pilika pilika zao ili kufanya mabeki wa timu pinzani muda wote wabaki wakiwa kaba hao jamaa pasipo kuongeza nguvu ya kushambulia. Chasambi na Mukwala wakiwa kwenye ulinzi mkali ndipo Mpanzu na Kibu D wanaingia kwa Kasi kupiga magoli bila huruma.

Kwa kuwa Yanga watakuja wote kulazimisha kufunga, kazi ya Yusuf Kagoma itakuwa ni kuwatuliza viungo hao wa Yanga na Fabrice Ngoma akipewa kazi ya kupiga mipira mirefu kwa mawinga ili counter attack ijibu mashambulizi kwa Kasi ya hatari.

Ahou na Ateba watasubiri sana kwenye gemu hiyo kwa sababu hao jamaa wanakuwaga na uzito sana kwenye kufanya uamuzi wa kutoa pasi na kukaba.

Kwa hicho kikosi Yanga anakula 3 mapema sana.
Dah! Simba inahitaji kikosi Bora zaidi ya hichi
 
Kwa hiki kikosi mkifungwa chache ni 6... na fujo uwanjani zitaanza mapema sana
 
Dah! Simba inahitaji kikosi Bora zaidi ya hichi
Simba ina kikosi dhaifu,hilo tulikubali..Wanahitajika wachezaji wa maana kama watatu pale.

Striker wa maana,chomoa Mukwala.Winger ya kulia ya maana ,chomoa Mutale.

Kiungo wa maana Box2Box,chomoa Okejepha.

Namba 10 ya Ahoua nayo ina mashaka makubwa,ila basi tu.
 
Simba ina kikosi dhaifu,hilo tulikubali..Wanahitajika wachezaji wa maana kama watatu pale.

Striker wa maana,chomoa Mukwala.Winger ya kulia ya maana ,chomoa Mutale.

Kiungo wa maana Box2Box,chomoa Okejepha.

Namba 10 ya Ahoua nayo ina mashaka makubwa,ila basi tu.
Namba 10 ndiyo muhimu kuliko wachezaji wote uliowataja.
 
SAJILI ZA MABORESHO ZISIZOPUNGUA TANO SIMBA.

TIMU BADO SANA KUFIKA WALAU NUSU WA ILE YA 2019.

WAACHANE NA.
1. Joshua Mutale.
2. Karabue Chamoe.
3 .Agustine Okejepha.
4. Dese Mukwala.
5. (Ngoma).
6 Manula.

MABORESHO YA SAJILI.
Beki wa kati NO 5.
Kiungo mkabaji No 6.
Kiungo mshambuliaji 10.
Mshambuliaji No 9.

Hadi leo sijapata majibu kwanini Fadru alisajili mchezaji mmoja tu Dirisha Dogo, ilinishangaza sana!!!!!!!!

Au ndio kuvizia ma Free Agent.

NIMEMALIZA
 
Hello!

Simba kama timu kubwa Africa ni lazima uchukuaji wake wa vikombe hasa vya ligi kuu viwe ni lazima angalau isipite miaka 3 bila kunyenyua ndoo. Lakini kwa trend hii ya kudondosha point kwenye mechi muhimu, suala la vikombe kwenda msimbazi linaweza kusubiliwa sana.

Mechi kati ya Simba na Yanga inaweza kuamua Simba ibebe au isibebe ubingwa wa msimu wa 2024/2025.
Kutokana na Yanga kuwa Bora sana kwenye safu yake ya kiungo na ushambuliaji ni vyema Simba nayo ikaja na watu wa Kasi sana mbele ili kuzima mashambulizi ya timu pinzani.
Kikosi ambacho ningependekeza kianze dhidi ya Yanga ni hiki;


Radack Chasambi na Dese Mukwala wataanza kwenye kikosi kutokana na pilika pilika zao ili kufanya mabeki wa timu pinzani muda wote wabaki wakiwa kaba hao jamaa pasipo kuongeza nguvu ya kushambulia. Chasambi na Mukwala wakiwa kwenye ulinzi mkali ndipo Mpanzu na Kibu D wanaingia kwa Kasi kupiga magoli bila huruma.

Kwa kuwa Yanga watakuja wote kulazimisha kufunga, kazi ya Yusuf Kagoma itakuwa ni kuwatuliza viungo hao wa Yanga na Fabrice Ngoma akipewa kazi ya kupiga mipira mirefu kwa mawinga ili counter attack ijibu mashambulizi kwa Kasi ya hatari.

Ahou na Ateba watasubiri sana kwenye gemu hiyo kwa sababu hao jamaa wanakuwaga na uzito sana kwenye kufanya uamuzi wa kutoa pasi na kukaba.

Kwa hicho kikosi Yanga anakula 3 mapema sana.
Baadae muanze kumlaumu kapombe kuwa kala pesa za GSM
 
Yanga hii hii iliyoishia makundi au kuna Yanga nyingine?

Ingekuwa bora isingekuwa hapo ilipo.

Hicho kikosi chako ni mihemko yako tu Simba ni ile ile hakuna mchezaji garasa wala mzee, wote wapo vizuri.
Ni kweli kabisa simba tuna vijana wengi kuliko yanga...kapombe miaka 18....Mohamed husein 16....ngoma 17
 
Hiyo mechi akianza Shabalala na Kapombe nitashangilia mno hata kabla ya mechi
Simba watakufa tena maana watataka kushinda hii gemu kwa hali na mali wakiruhusu tupishane kama walivyocheza na Azam wanakufa tena maana beki ndio hawana kabisaa ila hii mechi Chama ilitakiwa aanze mapema na assist zake hata uwe tura vip unafunga..
 
Washabiki wa Simba pangeni vikosi ili kocha wenu achambue Timu kupitia ninyi ili mkipigwa Tano tena lawama zisiwepo...
 
Mwambieni yule dogo anaedaka na kurudisha ndani apunguze misifa...mtumishi wa mungu Mr.Osborn anaingia surb shauri yake
 
SAJILI ZA MABORESHO ZISIZOPUNGUA TANO SIMBA.

TIMU BADO SANA KUFIKA WALAU NUSU WA ILE YA 2019.

WAACHANE NA.
1. Joshua Mutale.
2. Karabue Chamoe.
3 .Agustine Okejepha.
4. Dese Mukwala.
5. (Ngoma).
6 Manula.

MABORESHO YA SAJILI.
Beki wa kati NO 5.
Kiungo mkabaji No 6.
Kiungo mshambuliaji 10.
Mshambuliaji No 9.

Hadi leo sijapata majibu kwanini Fadru alisajili mchezaji mmoja tu Dirisha Dogo, ilinishangaza sana!!!!!!!!

Au ndio kuvizia ma Free Agent.

NIMEMALIZA
Ukimuacha ngoma nani anacheza namba 8?
 
Simba ina kikosi dhaifu,hilo tulikubali..Wanahitajika wachezaji wa maana kama watatu pale.

Striker wa maana,chomoa Mukwala.Winger ya kulia ya maana ,chomoa Mutale.

Kiungo wa maana Box2Box,chomoa Okejepha.

Namba 10 ya Ahoua nayo ina mashaka makubwa,ila basi tu.
Usajili mkubwa unahitajika ili kukiboresha kikosi
 
Back
Top Bottom