Makomda mjanja kapima upepo kwamba magufuri atambeba kwenye uchaguzi na atauramba uwaziri
2025 nani atakuja kumbeba?
Naibu speaker ili asishitakiwe baada jiwe kutoka!! Atamuachaje? Jinai kana10 hivi kuua watu .....wamarekani wanae hilo halifutiki !!! Jinai na damu zitamuandama subiria jiwe siku litoke utaelewaNaunga mkono hoja,
Binafsi kua mkuu wa mkoa Kama DAR, Ni zaidi ya uwaziri na ubunge...
Wewe umemzungumzia Makonda na faida zake binafsi akiwa mkuu wa mkoa au mbunge na hili ndilo kosa la wapiga kura wa Tanzania, tunawachagua watu ili wakajinufaishe. Binafsi sina sympathy yoyote na Makonda, nimefurahi mno kwamba ametoka na ningependa asiwepo kwenye uongozi wa aina yoyote ile.Ndugu Paul Makonda Ukuu wa mkoa ndio ulikuwa unampendeza na kumpa mamlaka ya Nguvu kuliko huo ubunge anaouhitaji,
Japokuwa ukuu wa mkoa ni nafasi inayotegemea mteuaji ameamkaje kwa siku hiyo(haikupi uhakika kwamba utakuwa ofisini siku ya kesho) lakini kwangu Ukuu wa mkoa ilikuwa ndio nafasi pekee ya kutamba kwake ukizingatia aliweza kula vizuri na boss wake hivyo kwa vyovyote vile alikuwa na uhakika wa kuwa tena mkuu wa mkoa kwa wakati mwingine tena...
Unafahamu rais hutoka baraza la mawaziri kupitia ubunge wa kuchaguliwa na si kupitia u RC?Hatuchukulii poa ila ata akiwa waziri hawezi kuact kama alivyokuwa Mkuu wa Mkoa,
Mengi atayafanya chini ya mtu, atakuwa under control sana tofauti na alivyokuwa Mkuu wa mkoa
Waziri Mkuu ajayeMakonda usimchukulie poa boss. Mpaka kuachia ukuu wa mkoa ujue ana uhakika wa ubunge na uwaziri vyote kwa pamoja...
Makomda mjanja kapima upepo kwamba magufuri atambeba kwenye uchaguzi na atauramba uwaziri
2025 nani atakuja kumbeba?
2025 kama huyu dikteta bado yuko madarakani huyo ndiye mgombea wake wa Urais hivyo ataendelea KUMBEBA.
Na hapo ndio maana mi najiuliza je hiyo karata aliyoicheza sijui kama itatiki au itageuka na kuwa majuto kwakeMaghufuli. Hawezi kumpa nchi Makonda
Si unaona zanzibar amempa Hussein Mwinyi mtu mwenye akili Timamu?!
Akithubutu kumpa Makonda Nchi yeye mwenyewe ataanza kuisoma number akishatoka madarakani, atageukwa na Makonda kwa speed ya ajabu
Makonda anaenda kuwe waziri wa ulinzi au wa mambo ya ndani mark ma wordsUkute boss wake ndiyo kampa go ahead, Mnyeti pia
Maghufuli. Hawezi kumpa nchi Makonda
Si unaona zanzibar amempa Hussein Mwinyi mtu mwenye akili Timamu?!
Akithubutu kumpa Makonda Nchi yeye mwenyewe ataanza kuisoma number akishatoka madarakani, atageukwa na Makonda kwa speed ya ajabu
wenzako wanaangalia system nzima nani akae wapi na kwa niniNaunga mkono hoja,
Binafsi kua mkuu wa mkoa Kama DAR, Ni zaidi ya uwaziri na ubunge...
Banned sio burnedKazi rasmi ya Makonda haikuwa ukuu wa mkoa. Katika kazi yake rasmi Makonda amekuwa "burned" na USA, kwa hiyo inabidi aondoke.
Swali la kujiuliza ni kwamba, huyo anaekuja anachukua pia kazi rasmi ya Makonda?
Tusingekuwa tunasemea maisha ya watu basi ata hiyo Elimu uliyosomea kuhusu Maisha ya kina Dr Living stone, mwalimu Nyerere,kama boss wake ndio kamwambia aende kugombea kigamboni je??
unaandika miparagpah miiingi, kusemea maisha ya mtu ambaye haumjui kabisa
kwa akili zako ndogo unadhani makonda kaenda kugombea kigamboni bila kuomba ushauri wa rais?????????
una akili sawasawa wewe?
Kihadhi RC na Waziri almost wanalingana, ndio maana Makonda hata waziri mkuu alikuwa anamuona mtu wa kawaida tu.Unafahamu rais hutoka baraza la mawaziri kupitia ubunge wa kuchaguliwa na si kupitia u RC?
Kwani kuna mtu alijua Kikwete atampa Nchi dikteta? Unadhani kwanini hakumfukuza kazi baada ya sakata la clouds!? Na Nape ambaye alifuata sheria ndiyo akafukuzwa? Kashfa ya makonteina akapeta. Mawaziri kumuogopa Bashite huku dikteta akiwa kimya.
Bashite anajua Mazabe mengi ya dikteta na anamuogopa hivyo Urais 2025 kama bado Watanzania wengi wamezubaa ni wa bashite.