[emoji23] [emoji23] Akili nyingine ni matope kabisa!Ilikuwa ni suala la muda tu kabla ya kujidhihiri u zero brain wake.. Thats the real definition of BASHITE.
Ndugu Paul Makonda Ukuu wa mkoa ndio ulikuwa unampendeza na kumpa mamlaka ya Nguvu kuliko huo ubunge anaouhitaji,
Japokuwa ukuu wa mkoa ni nafasi inayotegemea mteuaji ameamkaje kwa siku hiyo(haikupi uhakika kwamba utakuwa ofisini siku ya kesho) lakini kwangu Ukuu wa mkoa ilikuwa ndio nafasi pekee ya kutamba kwake ukizingatia aliweza kula vizuri na boss wake hivyo kwa vyovyote vile alikuwa na uhakika wa kuwa tena mkuu wa mkoa kwa wakati mwingine tena...
Magufuli kamwambia Bashite agombee.Ukute boss wake ndiyo kampa go ahead, Mnyeti pia
Tunza hii postHao hawawezi kuwa mawaziri wa hizo wizara labda Ndotoni,
Makonda labda akipita akampokee Ndugu Mwakyembe kwenye ile wizara
Gambo hatoboiMakonda waziri wa Mambo ya Ndani
Gambo waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa
kwani hayo matukio aliyafanya akiwa spika ?Magufuli kamwambia Bashite agombee.
Akiingia Bungeni Anapewa Uspika.
Tayari Rais, Waziri Mkuu na Spika Wana Kinga Za Kutoshtakiwa.
Lengo Ni Kumlinda Dhidi Ya Matukio Aliyopiga - post 2025.
A Calculated Move
Kweli kabisa mkuu DeepPond ijapokuwa umeadimika sana kwenye lile jukwaa letu. Inawezekana alishapiga hela za kutosha, hivyo ameamua kutoka kiaina kwani huko aendako uwezakano wa kupigwa panga ni mkubwa sana. Kumbuka siasa za nchi hii hazitabiriki.Naunga mkono hoja,
Binafsi kua mkuu wa mkoa Kama DAR, Ni zaidi ya uwaziri na ubunge.
HILI jiji lina hela Sana hili,
Kuanzia Ela halali mpaka za kupiga dili.
Unaweza kuamka ukapata Ela yoyote, hasa kwa Hawa Wafanyabiashara wajanja wajanja.
na Hakuna wa kukugomea.
SIJAJUA UYU BWANA MDOGO ALIKUA ANAPAPALIKA NA NINI.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu Paul Makonda Ukuu wa mkoa ndio ulikuwa unampendeza na kumpa mamlaka ya Nguvu kuliko huo ubunge anaouhitaji,
Japokuwa ukuu wa mkoa ni nafasi inayotegemea mteuaji ameamkaje kwa siku hiyo(haikupi uhakika kwamba utakuwa ofisini siku ya kesho) lakini kwangu Ukuu wa mkoa ilikuwa ndio nafasi pekee ya kutamba kwake ukizingatia aliweza kula vizuri na boss wake hivyo kwa vyovyote vile alikuwa na uhakika wa kuwa tena mkuu wa mkoa kwa wakati mwingine tena...
Naunga mkono hoja,
Binafsi kua mkuu wa mkoa Kama DAR, Ni zaidi ya uwaziri na ubunge.
HILI jiji lina hela Sana hili,
Kuanzia Ela halali mpaka za kupiga dili.
Unaweza kuamka ukapata Ela yoyote, hasa kwa Hawa Wafanyabiashara wajanja wajanja.
na Hakuna wa kukugomea.
SIJAJUA UYU BWANA MDOGO ALIKUA ANAPAPALIKA NA NINI.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmelalamika sana JPM amtoe hapo alipo na imekuja ' Timing ' nzuri kweli kweli ya Kumtoa kwani hivi sasa ' Rivals ' wake wameishiwa mno Nguvu.