Uchaguzi 2020 Ningekuwa Makonda ningesubiri mpaka 2025

Unababaika Kwa kuzungwa na ma Polisi Muda wote ?
Watu wanaangalia Unga Zero IQ
 
Hana rivals. Anatembea kwa raha zake. Atakachokosa sasa ni urais wa mkoa wa Dar 😀😀😀😀😀

Nani alikuambia na Kukudanganya kuwa hakuwa na ' Rivals ' hao Mkuu? Uchawi wake na Kinga za Waganga wake toka Nigeria umemlinda sana.
 
Hizi nafasi ni rahisi sana hapa Niko namshawishi mwanangu Wa miaka 18 achukue fomu agombee ubunge kwasabu ni very simpo
 
Kwenye ubunge kuna nafasi ya kuwa waziri au hata spikka wa bunge
 
Jamani ile nyumba yaliyoikarabati na GSM si anatuachia kila kitu ndani hapo kesho au [emoji23][emoji23][emoji23]
Atafanya kama Mke wa Sepetu kule Zanzibar [emoji28][emoji28][emoji28]
 
Ndugu Paul Makonda Ukuu wa mkoa ndio ulikuwa unampendeza na kumpa mamlaka ya Nguvu kuliko huo ubunge anaouhitaji,
Kila mtu ana malengo yake wewe unaleta mambo ya kupendeza,mwenzio ana kiu ya kutumikia wananchi
 
Jamani ile nyumba yaliyoikarabati na GSM si anatuachia kila kitu ndani hapo kesho au [emoji23][emoji23][emoji23]
Atafanya kama Mke wa Sepetu kule Zanzibar [emoji28][emoji28][emoji28]


Amejenga apartments zake masaki kwneye open space ya jeshi , kwa hiyo Bado ataendelea kuishi masaki
 
Huyu bashitel anaandaliwa kuwa Spika (Sabowofer) Naibu (Amplifier) au Kiranja mkuu wa kule ndan dom mtanambia
 

Kua Rais wa Tanzania wewe utakua unaota ndoto za mchana ambazo hazina maana yoyote... hilo aliwezekani abadan
 
Kwani katika kundi la 2015 nani alitegemea dikteta ndiyo aingie Ikulu? Unafikiri ni sawa Waziri Mkuu amuogope Mkuu wa Mkoa? Unadhani kwanini Majaliwa anamuogopa Bashite? Vitu viko wazi kabisaaaa lakini watu hamuoni! hahahahaha Just pay a little bit of attention what is going on in this government.

Kua Rais wa Tanzania wewe utakua unaota ndoto za mchana ambazo hazina maana yoyote... hilo aliwezekani abadan
 
Usilolijua ni sawa na usiku wa giza ,hiyo kitu ni planned mission,uwe mpole,hajauchia u RC kama ajali
Hiyo ni kweli kabisa na naunga mkono hoja yako mkuu. Sema watu wanafikiri hata lile sakata la kukwepa kodi ya bil1.3 alichoropoka kibahati au kashfa ya Gwaji boy na vipeperushi vyake vya ukabila alinusurika kimiujiza. Hapana kuna kitu nyuma ya pazia lazima
 
Makonda alivyo kichwani zero, sijui bungeni ataenda kuongea Nini, na hata akiwa waziri wizara yake itakuwa inafanya madudu tu, na uongozi huu wa kisukuma ukiisha sijui Kama atateulika Tena hata kwenye nafasi ya udasi
 
You may hate him, lakini kati ya watu wenye uhakika wa kupata lundo la kura kwenye ubunge no Makonda, like it or not.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…