Wahitimu wenye sifa za kupoteza maarifa na kukaa bila ya kufanya chochote eti kwa kuwa HAWAJAPEWA ajira ni mzigo kwa taifa.huku wakipoteza maarifa yao waliojifunza vyuoni bila kuyafanyia chochote.
Kwanza hawakuyapata maarifa (labda maarifa yasiyotakiwa kwenye jamii, mf kunywa pombe, kubet, kungonoka n.k).
Mwenye maarifa hawezi kukaa bila ya kufanya chochote ktk nchi ya Tanzania iliyajaliwa ardhi tele yenye rutuba. Mhitimu huyu kama hajaiona fursa ktk hili ni mbumbumbu.
Pili nashauri wahitimu wa aina hii wakamatwe wafunguliwe kesi za uhujumu uchumi. Wamefuja fedha za walipa kodi kwa kusomeshwa na serikali halafu wanamaliza anakaa bila ya kufanya chochote? How? Walienda shule kulemaa ama kupata mbinu za kujitafutia riziki?
Huu ujinga wa kumaliza vyuo halafu mnakuja kutujazia server huku kuilalamikia serikali kuhusu ajira ukome. Kwanza mnajidhalilisha. Wewe na mm ambaye sikusoma tuna tofauti gani Sasa??
Ingieni msituni mkalime wajinga nyie.
.