Hakuna bajeti kusubiri mkuu es ulinzi ns usalama siwezi.kusubirii hii ni dharura
Utaratibu mzuri wa raia ni kama ulivyoona na jinsi ulivyofanikiwa kuokoa wenzao pale.
Vinginevyo ukitaka utaratibu mzuri zaidi utawapoteza wengi sana, maana lazima usubiri bajeti, vikao na vifaa kutoka sijui wapi kule!.
Ni kweli mchango na nguvu ya raia ktk hali kama hii ni muhimu. Hata hivyo ni vema ku set up utaratibu mzuri ambao hautakuwa kikwazo na kizuizi ktk movement za kuingia na kutoka ukizingatia mazingira ya Kariajoo yalivyo.
Hzo story unaziona na kusikia kwenye moves ndugu hz calamities preparedness usifanye mchezo ndio nyie wakijaza usalama na wanajeshi mnanzisha uzi wa kuwasema
Sawa hadi pale utakupokuta umetengewa bajeti 200m. Kati ya hizo umepewa maelezo toka juu 150m ziende sehemu ambao haina uhusiano wowote na emergency preparedness halafu halafu hiyo 50m unaambiwa kuna vikao na drill zitakula 45m. Utabaki na 5m ya kutayarisha proposal kwa wadau kuomba msaada kwa ajili ya mafunzo na vikao vya emergency preparedness. Tatizo siyo mipango tatizo ni viongozi.Ndugu zangu wana Jukwaa, poleni kwa sote kwa yale yanayoendelea. Tuendelee kuweka nguvu zetu kwa panoja ili hatimaye hatua za uokoaji ambao serikali imeshaingilia kati ziweze kulete manufaa kwa wahanga.
Pamoja na hayo ni vema tukatumia wakati kama huu kabla watu jawajasahau( watanzania ni wepesi sana kusahau) kukumbushana umuhimu wa kuweka tahadhari au njia za kupambana na majanga ikiwa tayari yametokea.
Ni muhimu tukaelewa kuwa jiji la Dar ni tofauti sana na majiji mengine hapa tanzania hivyo linahitaji stratejia todauti kidogo.
Kihistoria kwa hivi karibuni tu kumetokea majanga kadha wa kadha ikiwemo
1. Kuungua soko la Machinga Karume
2. Kuungua Soko la Kariakoo
3. Mafuriko yatokanayo na mvua Maeneo ya mabondeni.
Ningekuwa kiongozi wa Baraza la Ulinzi na Usalama ningefanya haya
1. Kuhakikisha kuna idala thabiti ya majanga na yenye medical evacuation Ambulance
2. Kuhakikisha mipango na bajeti ya kuajiri na kuweka sawa kikosi cha uokoaji wakati wowote chenye weledi na uzalendo.
3. Kuwepo na vifaa vya uokoaji ktk matukio mbali mbali vinavyokaguliwa na kutunzwa kwa wakati wote( kama ambavyo warehouse za jeshi na polisi)
Wakati wa janga kama leo ningefanya haya
Bila kusubiri Agizo la Waziri wala Rais wa JMT
1. Kuhakikisha watu wote waliozagaa Kariakoo nawafagia waondoke na kuelekea makwao. Hii inaondoka hatari( risiki ya janga lingine). Imagine hapo watu wamejazana kukatokea hitilafu ya umeme na moto? Imagine jengo lingine likadondoka, imagine wasisiojulikana waliokuwa wanazagaa maeneo hayo wakiwa na vilipuzi?
2. Kumwaga Jeshi la vijana wa FFU na JKT kwa haraka sana ili kuondoa watu ktk maeneo ya tukio ili Entry na Exit routes ziwe paved kwa ajilinya ufanisi wa uokoaji kuingia na kutoka kwa vifaa maalumu.
3. Kumobilize emergenc3 evacuations kwa kutumia team kadhaa za serikali na za vituo binafsi kama Aga Khan, TMHS, Regency, Muhimbili na Saifee- wote wanatakiwa kuelekeza mchango wao hapo.
Siku ukiwa, ukakabidhiwa VXR, mshahara WA 6m, wadau ukiwajambisha wanamwaga pesa, unamkolomea yoyote anaufyata....... Nakuhakikishia utavaa Hadi boxa ya kijani na hata ukiwa unamkaza mmeo utaisifu CCM.
Ukiipata kacheo unakuwa na akili kuzidi wote na hotuba zote utataka mama kila sentensi.
Sawa hadi pale utakupokuta umetengewa bajeti 200m. Kati ya hizo umepewa maelezo toka juu 150m ziende sehemu ambao haina uhusiano wowote na emergency preparedness halafu halafu hiyo 50m unaambiwa kuna vikao na drill zitakula 45m. Utabaki na 5m ya kutayarisha proposal kwa wadau kuomba msaada kwa ajili ya mafunzo na vikao vya emergency preparedness. Tatizo siyo mipango tatizo ni viongozi.
Ndiyo Ukweli WenyeweUtayari wa vyombo vya serikali ya ccm ni kukabiliana na chadema.
Utayari wa vyombo vya serikali ya ccm ni kukabiliana na chadema.
Emergency preparedness ni hakuna.
Tunachukulia kwa uwepesi sana suala zima la uchaguzi na demokrasia lakini kuwa na viongozi waliopatikana kwa njia zisizokuwa za haki zina madhara makubwa sana kwetu wananchi.Kweli kabisa. Nadhani Bajeti ni ndogo na huwa inaliwa na wajanja. Maana mara nyingi kwenye maafa raia wema ndio hutoa michango.
Umeongea kitu moja muhimu sana ambacho huenda ndio kinatukwamisha.Sawa hadi pale utakupokuta umetengewa bajeti 200m. Kati ya hizo umepewa maelezo toka juu 150m ziende sehemu ambao haina uhusiano wowote na emergency preparedness halafu halafu hiyo 50m unaambiwa kuna vikao na drill zitakula 45m. Utabaki na 5m ya kutayarisha proposal kwa wadau kuomba msaada kwa ajili ya mafunzo na vikao vya emergency preparedness. Tatizo siyo mipango tatizo ni viongozi.