Ningekuwa mwenyekiti wa Ulinzi na Usalama Dar Es Salaam, ningefanya haya kujiandaa na Majanga na wakati wa Majanga

Ningekuwa mwenyekiti wa Ulinzi na Usalama Dar Es Salaam, ningefanya haya kujiandaa na Majanga na wakati wa Majanga

Utaratibu mzuri wa raia ni kama ulivyoona na jinsi ulivyofanikiwa kuokoa wenzao pale.

Vinginevyo ukitaka utaratibu mzuri zaidi utawapoteza wengi sana, maana lazima usubiri bajeti, vikao na vifaa kutoka sijui wapi kule!.

Utaratibu mzuri ni kurudia mpango mji wa Kariakoo upya.
 
Ni kweli mchango na nguvu ya raia ktk hali kama hii ni muhimu. Hata hivyo ni vema ku set up utaratibu mzuri ambao hautakuwa kikwazo na kizuizi ktk movement za kuingia na kutoka ukizingatia mazingira ya Kariajoo yalivyo.

Kweli kabisa. Kuwepo na utaratibu ambao iwapo majanga yatatokea watu wasidhurike.
 
Hzo story unaziona na kusikia kwenye moves ndugu hz calamities preparedness usifanye mchezo ndio nyie wakijaza usalama na wanajeshi mnanzisha uzi wa kuwasema

Kubalini kushaurika. Mnajifanya wabishi majanga yakija hakuna wa kusaidia.
 
Ndugu zangu wana Jukwaa, poleni kwa sote kwa yale yanayoendelea. Tuendelee kuweka nguvu zetu kwa panoja ili hatimaye hatua za uokoaji ambao serikali imeshaingilia kati ziweze kulete manufaa kwa wahanga.

Pamoja na hayo ni vema tukatumia wakati kama huu kabla watu jawajasahau( watanzania ni wepesi sana kusahau) kukumbushana umuhimu wa kuweka tahadhari au njia za kupambana na majanga ikiwa tayari yametokea.

Ni muhimu tukaelewa kuwa jiji la Dar ni tofauti sana na majiji mengine hapa tanzania hivyo linahitaji stratejia todauti kidogo.

Kihistoria kwa hivi karibuni tu kumetokea majanga kadha wa kadha ikiwemo

1. Kuungua soko la Machinga Karume
2. Kuungua Soko la Kariakoo
3. Mafuriko yatokanayo na mvua Maeneo ya mabondeni.

Ningekuwa kiongozi wa Baraza la Ulinzi na Usalama ningefanya haya
1. Kuhakikisha kuna idala thabiti ya majanga na yenye medical evacuation Ambulance
2. Kuhakikisha mipango na bajeti ya kuajiri na kuweka sawa kikosi cha uokoaji wakati wowote chenye weledi na uzalendo.
3. Kuwepo na vifaa vya uokoaji ktk matukio mbali mbali vinavyokaguliwa na kutunzwa kwa wakati wote( kama ambavyo warehouse za jeshi na polisi)

Wakati wa janga kama leo ningefanya haya

Bila kusubiri Agizo la Waziri wala Rais wa JMT

1. Kuhakikisha watu wote waliozagaa Kariakoo nawafagia waondoke na kuelekea makwao. Hii inaondoka hatari( risiki ya janga lingine). Imagine hapo watu wamejazana kukatokea hitilafu ya umeme na moto? Imagine jengo lingine likadondoka, imagine wasisiojulikana waliokuwa wanazagaa maeneo hayo wakiwa na vilipuzi?
2. Kumwaga Jeshi la vijana wa FFU na JKT kwa haraka sana ili kuondoa watu ktk maeneo ya tukio ili Entry na Exit routes ziwe paved kwa ajilinya ufanisi wa uokoaji kuingia na kutoka kwa vifaa maalumu.
3. Kumobilize emergenc3 evacuations kwa kutumia team kadhaa za serikali na za vituo binafsi kama Aga Khan, TMHS, Regency, Muhimbili na Saifee- wote wanatakiwa kuelekeza mchango wao hapo.
Sawa hadi pale utakupokuta umetengewa bajeti 200m. Kati ya hizo umepewa maelezo toka juu 150m ziende sehemu ambao haina uhusiano wowote na emergency preparedness halafu halafu hiyo 50m unaambiwa kuna vikao na drill zitakula 45m. Utabaki na 5m ya kutayarisha proposal kwa wadau kuomba msaada kwa ajili ya mafunzo na vikao vya emergency preparedness. Tatizo siyo mipango tatizo ni viongozi.
 
kutokana na idadi ya watu kuongezeka .kitengo cha uokoaji kitenganishwe.kiwe kitengo cha kujitegemea chenyewe. kiajili watu wake na wapewe mafunzo kivyake. tofauti na sasa mtu anapelekwa kikosi cha uokoaji na zimamoto kama adhabu au kumkomoa akiwa hakusanyi rushwa vizuri.
 
Siku ukiwa, ukakabidhiwa VXR, mshahara WA 6m, wadau ukiwajambisha wanamwaga pesa, unamkolomea yoyote anaufyata....... Nakuhakikishia utavaa Hadi boxa ya kijani na hata ukiwa unamkaza mmeo utaisifu CCM.

Ukiipata kacheo unakuwa na akili kuzidi wote na hotuba zote utataka mama kila sentensi.

haaaaaaaaa haaaaaaaaa
 
Sawa hadi pale utakupokuta umetengewa bajeti 200m. Kati ya hizo umepewa maelezo toka juu 150m ziende sehemu ambao haina uhusiano wowote na emergency preparedness halafu halafu hiyo 50m unaambiwa kuna vikao na drill zitakula 45m. Utabaki na 5m ya kutayarisha proposal kwa wadau kuomba msaada kwa ajili ya mafunzo na vikao vya emergency preparedness. Tatizo siyo mipango tatizo ni viongozi.

Kweli kabisa. Nadhani Bajeti ni ndogo na huwa inaliwa na wajanja. Maana mara nyingi kwenye maafa raia wema ndio hutoa michango.
 
Kweli kabisa. Nadhani Bajeti ni ndogo na huwa inaliwa na wajanja. Maana mara nyingi kwenye maafa raia wema ndio hutoa michango.
Tunachukulia kwa uwepesi sana suala zima la uchaguzi na demokrasia lakini kuwa na viongozi waliopatikana kwa njia zisizokuwa za haki zina madhara makubwa sana kwetu wananchi.
 
Hii tabia yao, ya kufika kwenye uokozi late ifike mwisho sasa. Kwa janga la Kariakoo walichelewa, wasiseme foleni. Huwa kuna V8 zina ving'ora, au hazina zinapita au kupitishwa na askari barabarani. Ndiyo itakuwa kwenye tukio zito hivyo.

Yaani kiongozi akitaka kupita njia inasafishwa, janga likitokea wanasema foleni jinsi ya kufika. Haya madaraja, wanayoyatengeneza itawacost siku isiyo na jina.
 
Sawa hadi pale utakupokuta umetengewa bajeti 200m. Kati ya hizo umepewa maelezo toka juu 150m ziende sehemu ambao haina uhusiano wowote na emergency preparedness halafu halafu hiyo 50m unaambiwa kuna vikao na drill zitakula 45m. Utabaki na 5m ya kutayarisha proposal kwa wadau kuomba msaada kwa ajili ya mafunzo na vikao vya emergency preparedness. Tatizo siyo mipango tatizo ni viongozi.
Umeongea kitu moja muhimu sana ambacho huenda ndio kinatukwamisha.
 
Back
Top Bottom