Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuma maombi umng'oe Ahmed Ally inaonesha wewe ni bora zaidi, tatizo una wivu tuInasemwa kwamba kazi ya afisa uhusiano ndio kazi ngumu kabisa huku duniani. Kazi hii inahitaji mtu mwenye uelewa wa mambo haswa yale ambayo atakuwa akiwashirikisha watu kuhusu kampuni, taasisi na mashirika ambayo ndio anafanyia kazi.
Kwa mfano. Afisa uhusiano wa jeshi la polisi. Msemaji wa jeshi la wananchi. Afisa habari wa TRA. Msemaji wa ikulu nk.
Unapokuwa kwenye nafasi ya afisa uhusiano wa taasisi yoyote unaweza kuifanya taasisi ikaonekana inafanya mambo hake vizuri au vibaya. Ndivyo ilivyo kwa msemaji wa klabu ya simba ya dar es salaam ndungu Ahmed Ally.
Kupitia mitandao ya kijamii, Ahmed Ally amekuwa akionekana akiizungumzia Club ya Simba kimzaha mzaha, kiasi kwamba Club ya Simba inaonekana kituko kupitia yeye.
Kwa jinsi navyomwona, yeye ndio ananufaika zaidi kuliko Club ya Simba. Taarifa zake nyingi zimekuwa ni za kimipasho zaidi kuliko zile official club statement ambazo uwasilishaji wake pia unatakiwa kuwa na nidhamu.
Uwasilishaji wake wa taarifa umekaa kitambotambo na kujidaijidai na ni kwa sababu ya kukosa ubunifu na matokeo ya kuigaiga watu wa aina ya kina Hadji Manara.
Ahmed Ally anajinufaisha yeye kwa mgongo wa club ya simba kwa kutaka sifa hata kama ni za kijinga ili mradi apate follers wengi huko insta na facebook.
Ningekuwa na mamlaka, ningempiga chini huyu jamaa.
LigalambwikeTangu hizi nafasi za usemaji wa vilabu kuanza tuna msemaji mmoja tu ambaye amefit kwenye hiyo nafasi.
Thobias Kifaru wa kule Manungu Turiani.
Wote wengine, Ally Kamwe, Ahmed Ally na Hadji Manara ni watu wa taarabu na mipasho.
kwa ufupi, hili ndilo linalokuumizaKwa jinsi navyomwona, yeye ndio ananufaika zaidi kuliko Club ya Simba.
Wana thiiiimba!! 😀Sawa Ally Kamweeee
Eeee eeeee eeeeeWana thiiiimba!! 😀
Sema wewe ndio unataka hizo comedy usitusemee wengineHawa wote Mm nawaona ni wale wale, hivyo naona mtoa mada ni shabiki wa Yanga hvy hawezi kuona tatizo kwa Kamwe.
Ila binafsi hao wote Kamwe na Ahmed wanafanya kazi zao vzr mana ndivyo mashabiki wao wanavyotaka.
Haya kaandamane muwafukuze kaziSema wewe ndio unataka hizo comedy usitusemee wengine
ukweli ulionyooka kama rula.Anachokifanya Ahmed Ally ndicho mashabiki wa soka la Tanzania wanapenda, kwahy hapo tatizo sio Ahmed bali mashabiki wa soka la bongo ndio mna matatizo
baeleze baelewe haba batoto.Kama hamtaki porojo mnamfatilia wa nini? Yani huyo hapo ndo kafika..maana anajua tena anajua vibaayaaa mnooo👌
Shabiki wa chura huyo 😂We umemuona Ahmed Ally tu? Yule njiti Ally kamwe hujaona anachokifanya?
Bameshapatabaeleze baelewe haba batoto.
Muacheni Semaji ajimwambafai hata mkifungwa akachekee CHOONIGENTAMYCINE a.k.a AKili Kubwa na Tajiri wa Maono nimeandika sana hapa kuhusu Mapungufu yake mkaniipuza. Pole!!