Ningekuwa na maamuzi kwenye club ya Simba, ningemuondoa msemaji wa club ya Simba, Ahmed Ally

Tuma maombi umng'oe Ahmed Ally inaonesha wewe ni bora zaidi, tatizo una wivu tu
 
Tangu hizi nafasi za usemaji wa vilabu kuanza tuna msemaji mmoja tu ambaye amefit kwenye hiyo nafasi.
Thobias Kifaru wa kule Manungu Turiani.

Wote wengine, Ally Kamwe, Ahmed Ally na Hadji Manara ni watu wa taarabu na mipasho.
Ligalambwike
 
Hawa wote Mm nawaona ni wale wale, hivyo naona mtoa mada ni shabiki wa Yanga hvy hawezi kuona tatizo kwa Kamwe.
Ila binafsi hao wote Kamwe na Ahmed wanafanya kazi zao vzr mana ndivyo mashabiki wao wanavyotaka.
Sema wewe ndio unataka hizo comedy usitusemee wengine
 
Mashabiki wenyewe wajinga unataka wawe na msemaji mwenye akili,mjinga huongozwana mjinga,football ni mchezo wa kihuni huku africa so relax
 
GENTAMYCINE a.k.a AKili Kubwa na Tajiri wa Maono nimeandika sana hapa kuhusu Mapungufu yake mkaniipuza. Pole!!
Muacheni Semaji ajimwambafai hata mkifungwa akachekee CHOONI
 
Kuna kitu hakiko sawa ktk nafasi ya usemaji teams hapa Tz..... Kuna haja ya kushughulika nalo kwa ajili ya AFYA ya SOKA la TZ..
Kuna namna hawa wasemaji wanawaaminisha mashabiki , overating ya wachezaji, un realistic expectations etc. Wanajitahidi kupata media attention bila kujua wanaharibu. ....Wanavyomuelezea KOCHA, au mchezaji ni tofauti na actual performance zao., pressure ni kubwa mno. Wanaharibu.....
.hiii style ikemewe au kuzuiwa kwa wanaoweza kufanya hivyo..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…