Ningekuwa na maamuzi kwenye club ya Simba, ningemuondoa msemaji wa club ya Simba, Ahmed Ally

We mamluki mkuu ... Umetumwa... Mbona unataka kuharibu ugali wa mtu? Yanini kutia mchanga kitumbua cha mwenzio? We mchawi wewe!!
 
Msemaji Tanzania alikuwa Antonio Nugaz bwana hao wengine ni wapiga kelele tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…