kelphin
JF-Expert Member
- Dec 24, 2019
- 9,872
- 16,319
Mwana hip-hop haguguni mifupa?Awe nani Sasa?Fag! Sheamus?Uzao wako utaendeleaje?You must be kidding![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwana hip-hop haguguni mifupa?Awe nani Sasa?Fag! Sheamus?Uzao wako utaendeleaje?You must be kidding![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
ni hatari kabisa kwa ma freestyle..Ila hili lijamaa lilikuwa linajua aiseee.
Ningekua pale TOT ningepumzisha microphone aliyo itumia Komba ili waje watalii kuiangaliaKwa heshima ya Mziki wake hapa nchini laiti ningekuwa P Funk (majani) ningeipumzisha Mike aliyokuwa anaitumia Ngwair kuingiza vocal zake pale Bongo Record
Ningetafuta site nzuri, Sanduku la kioo na kuiifadhi humo ili kila mwenye nia ya kutaka kuitazama na aje aitazame mike iliyoingiza Vocal ya Mikasi.
Vivyo hivyo ningekuwa Marco chali ningeipumzisha mike aliyokuwa anaitumia King Zilla(God zilla), Na kuipa heshima kubwa pale studio,
Watanzania tujifunze kutoa heshima kwa watu flani katika jamii yetu,
Tuwe na utaratibu wa kuifadhi history.
Ni jambo dogo ukilichukulia kwa juu juu lakini kama p funk majani atalitazama kwa Future basi litaleta maana kwa sababu kwa kuipa heshima Mike tu ya Ngwair,Huko miaka kenda inaweza kuuzwa kwa madolali ya kutosha.
Wazungu wameshatupita kwa hili.
Cc Zero IQ
This guy was giftedTutamkumbuka mwanachemba View attachment 1838537
Mkuu 2pac Amaru Shakur a.k.a Makaveli alikuwa mtu wa hizo mambo balaa.Sasa hiphop na kugegeda wap na wap mkuu![]()
![]()
Kabisaaaah yaanIla hili lijamaa lilikuwa linajua aiseee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaahkwenye mashindano ya free style alikua anamkimbiza sana Chidi Benzi hadi chidi benzi anapanic anamtia makofi.
Kumbe ni mtu wakunyumba, woiiiiiiiiiiiiihNgwair kwao ni Songea, amekulia Morogoro, baba ake alikuwa Mstahiki Mayor wa Morogoro
nawe wakunyumba!Kumbe ni mtu wakunyumba, woiiiiiiiiiiiiih
nawe wakunyumba!...njoo pm pleasee...
kafanya filamu gani?P Funk kishaachana na mziki kageukia filamu.
kafanya filamu gani?
thank you for sharing
Nene wa bombi nyumbi hii, [emoji23][emoji23][emoji23]nawe wakunyumba!