Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikuwa msanii mzuri sana mwenye kipaji kikubwa, ila hajafanya makubwa kuliko the likes of Profesa Jay, Sugu, Lady Jaydee, Diamond, AY, Alikiba, Saida Karoli, n.k hayo mengine ni sifa za marehemu usiogopeHivi ngwair ni kipi kikubwa alichofanya kwenye mziki wa tanzania?? Nimeuliza tu kwa nia njema ya kujua!
Njoo basi pm ..Nene wa bombi nyumbi hii, [emoji23][emoji23][emoji23]