screpa JF-Expert Member Joined Sep 10, 2015 Posts 10,857 Reaction score 15,866 Jul 6, 2021 #41 PFunky katengeneza malegend wengi wa Hiphop kama Prof Jay, Jaymo, SoloThang, Afande, Nature, n.k sasa sijui azipumzisha mike ngapi
PFunky katengeneza malegend wengi wa Hiphop kama Prof Jay, Jaymo, SoloThang, Afande, Nature, n.k sasa sijui azipumzisha mike ngapi
MEGATRONE JF-Expert Member Joined Feb 22, 2014 Posts 1,140 Reaction score 2,141 Jul 6, 2021 #42 Hivi ngwair ni kipi kikubwa alichofanya kwenye mziki wa tanzania?? Nimeuliza tu kwa nia njema ya kujua!
Hivi ngwair ni kipi kikubwa alichofanya kwenye mziki wa tanzania?? Nimeuliza tu kwa nia njema ya kujua!
screpa JF-Expert Member Joined Sep 10, 2015 Posts 10,857 Reaction score 15,866 Jul 6, 2021 #43 John henry said: Hivi ngwair ni kipi kikubwa alichofanya kwenye mziki wa tanzania?? Nimeuliza tu kwa nia njema ya kujua! Click to expand... Alikuwa msanii mzuri sana mwenye kipaji kikubwa, ila hajafanya makubwa kuliko the likes of Profesa Jay, Sugu, Lady Jaydee, Diamond, AY, Alikiba, Saida Karoli, n.k hayo mengine ni sifa za marehemu usiogope
John henry said: Hivi ngwair ni kipi kikubwa alichofanya kwenye mziki wa tanzania?? Nimeuliza tu kwa nia njema ya kujua! Click to expand... Alikuwa msanii mzuri sana mwenye kipaji kikubwa, ila hajafanya makubwa kuliko the likes of Profesa Jay, Sugu, Lady Jaydee, Diamond, AY, Alikiba, Saida Karoli, n.k hayo mengine ni sifa za marehemu usiogope
N nderingosha JF-Expert Member Joined Mar 20, 2011 Posts 4,285 Reaction score 3,250 Jul 9, 2021 #44 cocastic said: Nene wa bombi nyumbi hii, [emoji23][emoji23][emoji23] Click to expand... Njoo basi pm ..
cocastic said: Nene wa bombi nyumbi hii, [emoji23][emoji23][emoji23] Click to expand... Njoo basi pm ..