Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,629
- 34,199
Polisi wengi wana njaa sana. Ukitaka wakuone jembe, wapelekee deal la pesa siyo wahalifu.wa magari umeenda mbali hao wa simu tu wana connection huko huko
Kuna kipindi polisi wa pale Msimbazi walikuwa wanashirikiana mpaka na wale omba omba wa nje ya geti.
Omba omba anaomba kibabe usipompa anakuzingua halafu polisi wanaingilia. Unatolewa upepo.
Wengine hasa wale wa magari ya doria ndio kazi yao kukamata watu kwenye maeneo ya starehe usiku, wanakuweka kwenye difenda wanazurula na wewe mpaka saa 8 usiku mkubwa mpaka uwape pesa ndio wanakuachia.
Sasa watu kama hao ukiwashirikisha uhalifu wanaona unataka kuwapotezea muda tu.