Ningekuwa sina ajira ningefanya jambo moja ambalo lingenipelekea kuajiriwa haraka na kwa urahisi

Ningekuwa sina ajira ningefanya jambo moja ambalo lingenipelekea kuajiriwa haraka na kwa urahisi

wa magari umeenda mbali hao wa simu tu wana connection huko huko
Polisi wengi wana njaa sana. Ukitaka wakuone jembe, wapelekee deal la pesa siyo wahalifu.

Kuna kipindi polisi wa pale Msimbazi walikuwa wanashirikiana mpaka na wale omba omba wa nje ya geti.

Omba omba anaomba kibabe usipompa anakuzingua halafu polisi wanaingilia. Unatolewa upepo.

Wengine hasa wale wa magari ya doria ndio kazi yao kukamata watu kwenye maeneo ya starehe usiku, wanakuweka kwenye difenda wanazurula na wewe mpaka saa 8 usiku mkubwa mpaka uwape pesa ndio wanakuachia.

Sasa watu kama hao ukiwashirikisha uhalifu wanaona unataka kuwapotezea muda tu.
 
Hizo movie za kikorea zinawapeleka pabaya aiseee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16]
 
Kibongobongo ungeishia kutatuliwa rinda. Maisha ya u snitch, vipo vitengo hiyo ndio kazi yao, na zaidi kama mdau mmoja alivyokuelekeza hapo juu. Unaweza kupeleka report kwa mfadhiri wao ikala kwako. Bora una ajira mkuu we deal na mambo zako...hiyo ajira uliyoitaka ni ngumu kuliko ugumu wenyewe maana utaiponza mpaka familia yako.
 
Unaweza kukuta mkubwa wao ni mtu unayefahamiana nae ila hujui
 
Hii njia ambayo nitaianika hapa si njia rasmi na si njia ya kuweza kutumiwa kichwakichwa. Hakikisha suala la ajira na sifa kedekede unazitupa mbali, let's say vitakuja automatically.

Ningefanya upelelezi kwa kina, ningeweza hata kufanya jambo kwa muda wa mwaka mmoja ili nikusanye taarifa za kweli na uhakika.
Ningefuatilia mtandao mmoja wa ujambazi kwa kina nipate details zao zote.
  • Ningemjua mkuu wao
  • Center yao kuu
  • Wanapoficha silaha
  • Idadi kamili ya genge lao
  • Muda na wakati wanaofanya matukio n.k, n.k
Kisha naandika barua kwa OCD, RC au kwa Afisa usalama wa wilaya au mkoa kuhitaji kuonana naye. Najua katika watu ambao hawakatai meeting na raia ni watu wa ulinzi na usalama.

Unaweza kutaka kuonana na meneja mkoa TANROADS au dawasa ukazungushwa miezi na miezi ila kwa upande wa ulinzi na usalama haiko hivyo.

Siku nikikutana naye namweleza kukereka kwangu na vitendo vya uhalifu nchini hivyo kwa mapenzi ya dhati nimejitolea kuchunguza uhalifu kama jitihada za kusaidia dola.

Nitampa fuul information za hilo genge.

NB: Mweleze hatua hadi hatua ulizopitia katika investigation yako ili kumwondolea mashaka juu yako asije kuhisi ulihusika kwa namna moja au nyingine.
nakwambia wakianza kutoa ajira upya na ww ungekuwa huna basi kwa akili uliyonayo usingepata kabisa
 
Mkuu ni series gani imeku motivate? [emoji23][emoji23][emoji23] hiyo nguvu yakufuatilia watu kwanini usiiweke kwenye udalali ukawa unafuatilia bidhaa?
 
Kabla ya kukamilisha upelelezi wako ungekua umeshatangulia mbele za haki
 
Hii njia ambayo nitaianika hapa si njia rasmi na si njia ya kuweza kutumiwa kichwakichwa. Hakikisha suala la ajira na sifa kedekede unazitupa mbali, let's say vitakuja automatically.

Ningefanya upelelezi kwa kina, ningeweza hata kufanya jambo kwa muda wa mwaka mmoja ili nikusanye taarifa za kweli na uhakika.
Ningefuatilia mtandao mmoja wa ujambazi kwa kina nipate details zao zote.
  • Ningemjua mkuu wao
  • Center yao kuu
  • Wanapoficha silaha
  • Idadi kamili ya genge lao
  • Muda na wakati wanaofanya matukio n.k, n.k
Kisha naandika barua kwa OCD, RC au kwa Afisa usalama wa wilaya au mkoa kuhitaji kuonana naye. Najua katika watu ambao hawakatai meeting na raia ni watu wa ulinzi na usalama.

Unaweza kutaka kuonana na meneja mkoa TANROADS au dawasa ukazungushwa miezi na miezi ila kwa upande wa ulinzi na usalama haiko hivyo.

Siku nikikutana naye namweleza kukereka kwangu na vitendo vya uhalifu nchini hivyo kwa mapenzi ya dhati nimejitolea kuchunguza uhalifu kama jitihada za kusaidia dola.

Nitampa fuul information za hilo genge.

NB: Mweleze hatua hadi hatua ulizopitia katika investigation yako ili kumwondolea mashaka juu yako asije kuhisi ulihusika kwa namna moja au nyingine.
Kwa hiyo, tuseme hiyo ajira uliyonayo umeipata kwa kufanya hayo?
 
nimesoma hii post, dah nmejikuta nacheka kwa nguvu kinyama
 
Hii njia ambayo nitaianika hapa si njia rasmi na si njia ya kuweza kutumiwa kichwakichwa. Hakikisha suala la ajira na sifa kedekede unazitupa mbali, let's say vitakuja automatically.

Ningefanya upelelezi kwa kina, ningeweza hata kufanya jambo kwa muda wa mwaka mmoja ili nikusanye taarifa za kweli na uhakika.
Ningefuatilia mtandao mmoja wa ujambazi kwa kina nipate details zao zote.
  • Ningemjua mkuu wao
  • Center yao kuu
  • Wanapoficha silaha
  • Idadi kamili ya genge lao
  • Muda na wakati wanaofanya matukio n.k, n.k
Kisha naandika barua kwa OCD, RC au kwa Afisa usalama wa wilaya au mkoa kuhitaji kuonana naye. Najua katika watu ambao hawakatai meeting na raia ni watu wa ulinzi na usalama.

Unaweza kutaka kuonana na meneja mkoa TANROADS au dawasa ukazungushwa miezi na miezi ila kwa upande wa ulinzi na usalama haiko hivyo.

Siku nikikutana naye namweleza kukereka kwangu na vitendo vya uhalifu nchini hivyo kwa mapenzi ya dhati nimejitolea kuchunguza uhalifu kama jitihada za kusaidia dola.

Nitampa fuul information za hilo genge.

NB: Mweleze hatua hadi hatua ulizopitia katika investigation yako ili kumwondolea mashaka juu yako asije kuhisi ulihusika kwa namna moja au nyingine.
Miongoni mwa mambo unayotakiwa kuwa mwangalifu sana ni mambo ya uhalifu. Ukikurupuka inaweza kugharimu uhai wako.

Unaweza kufanya uchunguzi wako ukifanikiwa kuwajua members ukaamini umewafahamu wote, kumbe kuna makamanda wakuu (VIVULI) watoa maagizo hujawajua. Unaweza kukutana na OCD, RPC au yeyote ukamueleza KUMBE YEYE ni miongoni mwao.

Amini kwamba makundi ya kijambazi huwa yanayosimama mgao kwa hao uliowataja.

Na kwa asilimia kubwa vyombo vya ulinzi na usalama vina taarifa nyingi sana ya vitendo vya kihalifu, na wanawajua members wengi mnooo vikundi hivyo.

Mara nyingine huwa vinaachwa mahususi tu, kwa sababu maalumu au hata bila sababu.
 
Miongoni mwa mambo unayotakiwa kuwa mwangalifu sana ni mambo ya uhalifu. Ukikurupuka inaweza kugharimu uhai wako.

Unaweza kufanya uchunguzi wako ukifanikiwa kuwajua members ukaamini umewafahamu wote, kumbe kuna makamanda wakuu (VIVULI) watoa maagizo hujawajua. Unaweza kukutana na OCD, RPC au yeyote ukamueleza KUMBE YEYE ni miongoni mwao.

Amini kwamba makundi ya kijambazi huwa yanayosimama mgao kwa hao uliowataja.

Na kwa asilimia kubwa vyombo vya ulinzi na usalama vina taarifa nyingi sana ya vitendo vya kihalifu, na wanawajua members wengi mnooo vikundi hivyo.

Mara nyingine huwa vinaachwa mahususi tu, kwa sababu maalumu au hata bila sababu.
Kwanza hao OCD na RPC ndio wakuogopwa kabisa usijichanganye kabisa
 
Mwaka mzima unachunguza hilo genge la wahalifu, pesa za izo shughuli zako unatoa wapi??
Una uhakika hiyo ni njia ya kupewa ajira??
Ni ajira gani hiyo ujayoitaka, kwa hapo unakua umesaidia polisi, mbona ni wengi hutoa taarifa za kusaidia uchunguz na hawapati izo kazi
 
Hii njia ambayo nitaianika hapa si njia rasmi na si njia ya kuweza kutumiwa kichwakichwa. Hakikisha suala la ajira na sifa kedekede unazitupa mbali, let's say vitakuja automatically.

Ningefanya upelelezi kwa kina, ningeweza hata kufanya jambo kwa muda wa mwaka mmoja ili nikusanye taarifa za kweli na uhakika.
Ningefuatilia mtandao mmoja wa ujambazi kwa kina nipate details zao zote.
  • Ningemjua mkuu wao
  • Center yao kuu
  • Wanapoficha silaha
  • Idadi kamili ya genge lao
  • Muda na wakati wanaofanya matukio n.k, n.k
Kisha naandika barua kwa OCD, RC au kwa Afisa usalama wa wilaya au mkoa kuhitaji kuonana naye. Najua katika watu ambao hawakatai meeting na raia ni watu wa ulinzi na usalama.

Unaweza kutaka kuonana na meneja mkoa TANROADS au dawasa ukazungushwa miezi na miezi ila kwa upande wa ulinzi na usalama haiko hivyo.

Siku nikikutana naye namweleza kukereka kwangu na vitendo vya uhalifu nchini hivyo kwa mapenzi ya dhati nimejitolea kuchunguza uhalifu kama jitihada za kusaidia dola.

Nitampa fuul information za hilo genge.

NB: Mweleze hatua hadi hatua ulizopitia katika investigation yako ili kumwondolea mashaka juu yako asije kuhisi ulihusika kwa namna moja au nyingine.
Kuna watu wakishiba wanasumbua sana...
 
Back
Top Bottom