Ningekuwa sina ajira ningefanya jambo moja ambalo lingenipelekea kuajiriwa haraka na kwa urahisi

Ningekuwa sina ajira ningefanya jambo moja ambalo lingenipelekea kuajiriwa haraka na kwa urahisi

Acha kazi uliyo nayo then jaribu kufanya hili
 
Hii njia ambayo nitaianika hapa si njia rasmi na si njia ya kuweza kutumiwa kichwakichwa. Hakikisha suala la ajira na sifa kedekede unazitupa mbali, let's say vitakuja automatically.

Ningefanya upelelezi kwa kina, ningeweza hata kufanya jambo kwa muda wa mwaka mmoja ili nikusanye taarifa za kweli na uhakika.
Ningefuatilia mtandao mmoja wa ujambazi kwa kina nipate details zao zote.
  • Ningemjua mkuu wao
  • Center yao kuu
  • Wanapoficha silaha
  • Idadi kamili ya genge lao
  • Muda na wakati wanaofanya matukio n.k, n.k
Kisha naandika barua kwa OCD, RC au kwa Afisa usalama wa wilaya au mkoa kuhitaji kuonana naye. Najua katika watu ambao hawakatai meeting na raia ni watu wa ulinzi na usalama.

Unaweza kutaka kuonana na meneja mkoa TANROADS au dawasa ukazungushwa miezi na miezi ila kwa upande wa ulinzi na usalama haiko hivyo.

Siku nikikutana naye namweleza kukereka kwangu na vitendo vya uhalifu nchini hivyo kwa mapenzi ya dhati nimejitolea kuchunguza uhalifu kama jitihada za kusaidia dola.

Nitampa fuul information za hilo genge.

NB: Mweleze hatua hadi hatua ulizopitia katika investigation yako ili kumwondolea mashaka juu yako asije kuhisi ulihusika kwa namna moja au nyingine.

Wakati unafanya hayo una kula nini?

Wakati unafuatilia majili kama hao logistical support: usafiri, ufumbuzi wa mawasiliano yao, ulinzi kwako binafsi dhidi ya watu hao, nk unakuwa unavipata wapi?

Ndoto zako hizi yaonesha unazo labda kwa sababu wewe binafsi una kazi ya kuajiriwa na serikali na unadhani wasio na ajira kama wewe ni wajinga wajinga tu.

Nadhani kuondoa tatizo la ajira kazi zote ziwe na time limits e.g. mtu asiajiriwe popote kama alishaajiriwa popote kwa miaka 10 yaani mitano kisha at most mitano tena.

Baada ya hapo finito forthwith!
 
Uangaliani wa Moviees uliokitjiri sana him fanya mtu kuwehuka.
 
Huyu nae matako tu kama wale wenzake

Kaakili kako kadogo kama punje ya mchanga
 
Back
Top Bottom