opondo
JF-Expert Member
- Dec 28, 2017
- 526
- 1,321
Nitoe ushauri kwa upande wa ajira hizi za ualimu na wataalamu wa afya
Mpaka sasa kada ya ualimu nafasi ni 9800 na waombaji wa hiyo nafasi ni laki moja na elfu kumi na tisa (119000). Roughly ni kwamba nafasi moja inagombaniwa na watu 12, pia upande wa afya naona hali sio mbaya saana kama kwenye kada ya ualimu hao wanaonekana ni wengi maana watu wa sociology wameruhusiwa kuomba kwahiyo wanafanya hiyo idadi ya 39,000 kuonekana ni wengi.
Endapo serikali ikiamua kutoa ajira 10,000 kila mwaka itachukua miaka 12 kuwamaliza waliopo, then kumbuka mwaka huu pia wapo wanaograduate si chini ya 20,000.
Ushauri wangu kwa TAMISEMI kupunguza idadi hii ya walimu maana mwakani watafika laki na nusu. Kuna course ambazo zilianzishwa kwa nia njema kwa ajili ya kupata waalimu wa science wa haraka mfano special diploma mtu anamaliza form four anaenda kusoma ualimu kwa miaka mitatu. Inabidi zisitishwe kwanza twende na mfumo wa kawaida ambao ni certificate, diploma, na bachelor degree.
Kwa mfumo huo utasaidia rate ya wanaomaliza kwenye kada ya ualimu kupungua huku wakiendelea kuwaajiri wale waliopo mtaani.
Hapo ni mathematics ambalo hilo somo zamani walimu walikua hawapo lakini kwa sasa wamekua ni wengi kama masomo mengine. Pia ushauri wa wahitimu waliomaliza na waliopo bado vyuoni wanasoma ni vyema wakafikiria nje ya box zaidi maana kwa uhalisia serikali haiwezi kuajiri watu wote kuepusha na kulalamika ni vyema kuwaza ujasiriamali na kilimo kwa kutengeneza vikundi vidogo vidogo kwa ajiri ya kupewa mikopo.
Mpaka sasa kada ya ualimu nafasi ni 9800 na waombaji wa hiyo nafasi ni laki moja na elfu kumi na tisa (119000). Roughly ni kwamba nafasi moja inagombaniwa na watu 12, pia upande wa afya naona hali sio mbaya saana kama kwenye kada ya ualimu hao wanaonekana ni wengi maana watu wa sociology wameruhusiwa kuomba kwahiyo wanafanya hiyo idadi ya 39,000 kuonekana ni wengi.
Endapo serikali ikiamua kutoa ajira 10,000 kila mwaka itachukua miaka 12 kuwamaliza waliopo, then kumbuka mwaka huu pia wapo wanaograduate si chini ya 20,000.
Ushauri wangu kwa TAMISEMI kupunguza idadi hii ya walimu maana mwakani watafika laki na nusu. Kuna course ambazo zilianzishwa kwa nia njema kwa ajili ya kupata waalimu wa science wa haraka mfano special diploma mtu anamaliza form four anaenda kusoma ualimu kwa miaka mitatu. Inabidi zisitishwe kwanza twende na mfumo wa kawaida ambao ni certificate, diploma, na bachelor degree.
Kwa mfumo huo utasaidia rate ya wanaomaliza kwenye kada ya ualimu kupungua huku wakiendelea kuwaajiri wale waliopo mtaani.