albab
JF-Expert Member
- Jul 6, 2018
- 1,198
- 2,562
Kwaufupi sana ningepata nafasi ya kuwa baba wa huyu mtoo...
Ningemnyoa hio nywele (tena kipara) kwa miezi sita.....
Ningempeleka shule zetu fulani wakongwe tunazijua wenyewe
Asingejihusisha na mitandao, kuangalia katuni wala muvi... Tv ni sa mbili muda wa taarifa ya habari over...
Kila siku angetembea au kukimbia 1km (nikimuonea hurua ntamnunulia baiskeli na ataendesha 3km isipokua jpili tu)
Jpili ni siku ya usafiii.... Na kujiandaa na hekaheka za kesho na wiki nzima....
Ratiba ingedumu kwa miezi sita alafu namkabidhi UWOYA mwanaume angali mtoto.
Ningempeleka shule zetu fulani wakongwe tunazijua wenyewe
Asingejihusisha na mitandao, kuangalia katuni wala muvi... Tv ni sa mbili muda wa taarifa ya habari over...
Kila siku angetembea au kukimbia 1km (nikimuonea hurua ntamnunulia baiskeli na ataendesha 3km isipokua jpili tu)
Jpili ni siku ya usafiii.... Na kujiandaa na hekaheka za kesho na wiki nzima....
Ratiba ingedumu kwa miezi sita alafu namkabidhi UWOYA mwanaume angali mtoto.