Karibu sana mkuuAsante sana mkuu wangu Rabboni , ubarikiwe!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karibu sana mkuuAsante sana mkuu wangu Rabboni , ubarikiwe!
Hii Canossa hapa Tegeta Primary tu inazidi 10M. Sasa sijui Secondary itasoma ngapi...Hakuna shule Ata 1 wanayolipa 20m per year Kati ya hizo alizotaja mleta Uzi, kama ipo unaifahamu tujuze mkuu
mazinde juu... 5m olevel, hadi 7m kwa advanc[emoji120][emoji120][emoji120]
Okay nashukuru sana kwa taarifa mkuu. Nitaendelea kufuatilia mpaka nitapata size yangu yenye ufundishaji/elimu bora.Hii Canossa hapa Tegeta Primary tu inazidi 10M. Sasa sijui Secondary itasoma ngapi...
Sawa mkuu nashkuru kwa kunijuzaHii Canossa hapa Tegeta Primary tu inazidi 10M. Sasa sijui Secondary itasoma ngapi...
Hiyo ada ni kuanzia mwaka gani?Hii Canossa hapa Tegeta Primary tu inazidi 10M. Sasa sijui Secondary itasoma ngapi...
Asante sana kwa kunitia moyo mkuu jiwe angavuShule nzuri sana hizi..hakika mzazi au binti anayesoma hizo shule anajivunia.
Anyway elimu bora ndio msingi..achana na hizi shule za ccm za bora elimu..ila mtoto kilaza..ili asihoji wanapoiba kura waziwazi.
#MaendeleoHayanaChama
Hii ni matokeo ya ufaulu kwa GPA CSEE kwa Mwaka 2022.Hivi hii ni kweli kwa CSEE 2023? View attachment 2517690
Umeandika kwa Hekima Sana, hii struggle ya kutafuta shule inaonekana unaifahamu vizuri sana. Natamani kila mwenye mipango ya kutafuta shule apitie hili jibu lako.Mkuu nenda na namba 1,2, 4, 6, na 11. Pia Ongeza Bright Future. Kabla ya kuuliza Ada kazana kumuandaa huyo binti yako. Kuzipata shule shule hizo ni lazima mtoto awe very bright na well prepared in Maths and Science and General Studies combined. Ada zao jiandae kuanzia 4-4.5 million Kwa nyingi. Ila pia nenda hizo shule ulizia current Ada watakupa clue. Ila pia kama binti yako yuko average basi hakikisha pia anafanya interview kwa shule nilizoacha hapo kwenye orodha yako Ongeza na nyingine nzuri angalia trend ya F4 results. Ukiegemea Sana top schools unaweza kujikita mtoto hajapata hata Moja na interview pia zimepita shuke nyinginezo. Hapo mzazi unachanganyikiwa sana. Pia kuwa Makini na tarehe za interview maana huwa zinagongana bàadhi ya shule hivyo ni kufanya maamuzi sahihi kabisa wakati wa kuchukua form. Miaka miwili hii hakikisha mtoto anapata usaidizi mkubwa mno kwenye masomo shuleni na extra akiwa nyumbani.
. All the best.
Nina uzoefu na shule mbili tu hapo, Precious blood na Mazinde juu tuWakuu habari. Nina binti yangu hapa yupo darasa la sita miaka 2 ijayo atakuwa anaingia ngazi elimu ya secondary.
Kwa sasa nimeanza kujiandaa kuhakikisha anazidi kuwa na uelewa mzuri wa darasani ili aweze kufaulu vizuri mitihani yake ya mwisho na ile ya kujiunga shule bora kwa elimu ya secondary (O level).
Kwa maana hiyo ningependa kuulizia ada (full package na michango mingine ikiwezekana) kwa shule zifuatazo: -
1. Precious Blood Secondary school
2. Anwarite Girls Secondary School
3. Kifungilo Girls Secondary School
4. St. Mary's Mazinde Juu Secondary School
5. St . Marie Eugenie Secondary School
6. Cannosa Secondary School
7. St. Mary Goreti Secondary School
8. St. Monica Moshono Girls' Secondary School
9. Bethel Sabs Girls Secondary School
10. Marian Girls Seconday School
11. St. Francis Girls
Kwa namna ambavyo nimezifuatilia hizi shuke kwa muda mrefu, nahitaji binti aje asome kati ya shule hizi. Mpaka sasa naendelea kumjengea mzingira ya kufaulu mitihani yao ( uwezo anao).
Je, mnaweza kushare gharama zao ili nijue ni kiasi gani ili niendelee kujiandaa vizuri.
Asanteni.
Jamani.....duh!mazinde juu... 5m olevel, hadi 7m kwa advanc
[emoji15][emoji15][emoji53][emoji53]Hii Canossa hapa Tegeta Primary tu inazidi 10M. Sasa sijui Secondary itasoma ngapi...
Asante sana. Interview zake na ada zake zikoje? Form zinaanza kutoka lini na zinapatikana wapi?Nina uzoefu na shule mbili tu hapo, Precious blood na Mazinde juu tu
hongera inaonekana una toto wa kike, vip akiba ya kuuza ubuyu imetosheleza kumpeleka hukoWakuu habari. Nina binti yangu hapa yupo darasa la sita miaka 2 ijayo atakuwa anaingia ngazi elimu ya secondary.
Kwa sasa nimeanza kujiandaa kuhakikisha anazidi kuwa na uelewa mzuri wa darasani ili aweze kufaulu vizuri mitihani yake ya mwisho na ile ya kujiunga shule bora kwa elimu ya secondary (O level).
Kwa maana hiyo ningependa kuulizia ada (full package na michango mingine ikiwezekana) kwa shule zifuatazo: -
1. Precious Blood Secondary school
2. Anwarite Girls Secondary School
3. Kifungilo Girls Secondary School
4. St. Mary's Mazinde Juu Secondary School
5. St . Marie Eugenie Secondary School
6. Cannosa Secondary School
7. St. Mary Goreti Secondary School
8. St. Monica Moshono Girls' Secondary School
9. Bethel Sabs Girls Secondary School
10. Marian Girls Seconday School
11. St. Francis Girls
Kwa namna ambavyo nimezifuatilia hizi shuke kwa muda mrefu, nahitaji binti aje asome kati ya shule hizi. Mpaka sasa naendelea kumjengea mzingira ya kufaulu mitihani yao ( uwezo anao).
Je, mnaweza kushare gharama zao ili nijue ni kiasi gani ili niendelee kujiandaa vizuri.
Asanteni.
Akiba ipo ndugu yangu, nitapambana nayo! Cha msingi uzima tu!hongera inaonekana una toto wa kike, vip akiba ya kuuza ubuyu imetosheleza kumpeleka huko