Ningependa kujua Ada ya Shule hizi za Sekondari

Ningependa kujua Ada ya Shule hizi za Sekondari

Aina nyingine ya "MIKOPO KAUSHA DAMU"

Kama kipato chako Cha wastani chamoto utakiona for another 4 coming years
Ni suala la uchaguzi tu ndugu yangu. Kuna mwingine ataona ni gharama lakini kumbe anatumia gharama kubwa kwenye mambo mengine ambayo hayana msingi.

Kiufupi, elimu kwa watoto wangu haina discussion. Kwa hiyo kwangu hii siyo "Mikopo kausha damu"!

Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
 
Ni suala la uchaguzi tu ndugu yangu. Kuna mwingine ataona ni gharama lakini kumbe anatumia gharama kubwa kwenye mambo mengine ambayo hayana msingi.

Kiufupi, elimu kwa watoto wangu haina discussion. Kwa hiyo kwangu hii siyo "Mikopo kausha damu"!

Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
Nimependa attitude yako.

Sijawa na uwezo wa kulipa ada kubwa kumsomesha mtoto ila naamini mpaka mwanangu afikie umri wa kwenda hizo shule mungu atakua kashanijalia kipato.

Nimekumbuka siku nilipompeleka mtoto wa mjomba kufanya interview ya Marian bagamoyo dah ilikua zaidi ya fiesta kwa umati wa wanafunzi na familia zao za kitajiri zikiwasindikiza kufanya mitihani ndo siku niligundua umuhimu wa kumpeleka mtoto shule kubwa make ile siku nilijikuta nipo katikati ya viongozi wakubwa na maarufu na wafanyabiashara bila kutarajia na kilichotukutanisha na interview za watoto.

Ukienda bagamoyo siku Marian wanafanya interview panakuaga tofauti sana panakuwaga kama moshi mwishoni mwa mwaka na foleni ya magari kutoka dar to bagamoyo ilikua kubwa.
 
Nimependa attitude yako.

Sijawa na uwezo wa kulipa ada kubwa kumsomesha mtoto ila naamini mpaka mwanangu afikie umri wa kwenda hizo shule mungu atakua kashanijalia kipato.

Nimekumbuka siku nilipompeleka mtoto wa mjomba kufanya interview ya Marian bagamoyo dah ilikua zaidi ya fiesta kwa umati wa wanafunzi na familia zao za kitajiri zikiwasindikiza kufanya mitihani ndo siku niligundua umuhimu wa kumpeleka mtoto shule kubwa make ile siku nilijikuta nipo katikati ya viongozi wakubwa na maarufu na wafanyabiashara bila kutarajia na kilichotukutanisha na interview za watoto.

Ukienda bagamoyo siku Marian wanafanya interview panakuaga tofauti sana panakuwaga kama moshi mwishoni mwa mwaka na foleni ya magari kutoka dar to bagamoyo ilikua kubwa.
Uzuri wa hizi shule siyo ubora wa mazingira na elimu yake tu, bali pia unamwandalia mtoto wako kuwa na network nzuri sana itakayoweza kumsaidia katika career yake.

Tuliosoma shule za tarafa (by then shule za kata zilikuwa bado) tunajijua mapungufu yetu, tulio wengi network zetu si za maana!
Na katika maisha (kazi au biashara), social capital and networking ni vitu vya msingi sana! Japo hili linachagizwa na interpersonal skills.
 
karibu msolwa St. Gaspare Bertoni sec school. mororogoro mikumi
 
Ni suala la uchaguzi tu ndugu yangu. Kuna mwingine ataona ni gharama lakini kumbe anatumia gharama kubwa kwenye mambo mengine ambayo hayana msingi.

Kiufupi, elimu kwa watoto wangu haina discussion. Kwa hiyo kwangu hii siyo "Mikopo kausha damu"!

Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
Uko sahihi.
 
muuza mkuu salaam. Vipi feedback ilikuaje. Wengine tupo zkwa struggle kama yako tafadhari tujuze ilikuaje. Vipi Ada kama ulipata taarifa kwa Precious blood, St Monica, Canossa, Mazinde Juu, Bright Future, Anwarite.
 
muuza mkuu salaam. Vipi feedback ilikuaje. Wengine tupo zkwa struggle kama yako tafadhari tujuze ilikuaje. Vipi Ada kama ulipata taarifa kwa Precious blood, St Monica, Canossa, Mazinde Juu, Bright Future, Anwarite.
Bright future,Canossa,Mazinde juu shule zangu pendwa
 
Wazee wa Bukta, soksi ya pundamilia kidumu na ufagio wanapita kama hawaoni uzi
 
Hellow Ram..precious blood form zao zinatoka kuanzia miezi gani?
Hello Ma, Precious Blood bado hawana A level, form za kujiunga kidato cha kwanza huwa zinaanza kutoka mwezi July......mara nyingi zinapatika shuleni, so inabidi uwe na mtu Arusha anaenda kukuchulia (kama hauishi Arusha), Angalizo hakikisha mwanao anajua hesabu kiasi chake, ndio somo la kwanza wanaloangalia ufaulu wake katika selction
 
Mazinde kuna mdada namjua katoka pale mwaka jana f6, now yuko Kairuki.

Alinambia ni Mil 8 kwa mwaka.
Million 8 kwa mwaka? Nimesomesha binti yangu mazinde (PCB), sijawahi kulipa M8.... Ada kama ada mazinde ni 4M+, ukiweka na makolokolo mengine inaweza kufika 6M hivi. Wanaosoma sayansi ada yao ndio iko juu, anyways siwezi jua, labda kwa miaka hii miwili mitatu itakuwa imeongezeka
 
Hello Ma, Precious Blood bado hawana A level, form za kujiunga kidato cha kwanza huwa zinaanza kutoka mwezi July......mara nyingi zinapatika shuleni, so inabidi uwe na mtu Arusha anaenda kukuchulia (kama hauishi Arusha), Angalizo hakikisha mwanao anajua hesabu kiasi chake, ndio somo la kwanza wanaloangalia ufaulu wake katika selction
Thanx ma for reply...
 
Million 8 kwa mwaka? Nimesomesha binti yangu mazinde (PCB), sijawahi kulipa M8.... Ada kama ada mazinde ni 4M+, ukiweka na makolokolo mengine inaweza kufika 6M hivi. Wanaosoma sayansi ada yao ndio iko juu, anyways siwezi jua, labda kwa miaka hii miwili mitatu itakuwa imeongezeka
Ni sawa kabisa ada za shule katolìki.....ni fair mnoo mnoo mnoo...haizidi 4m ...ukitoa vikorokoro vingine....
Kuna shule iko kongowe mbagala nzurii sanaaa.....Centennial seminary ila pls mtoto lege lege usimpelekeer ile kambi jkt....ufaulu div 1 za chini 10pts dara zima watu 200.....msuli kujitegemea stick hakuna kurembaaa....ni mchanganyiko....msuliiii 300%
 
  • Thanks
Reactions: ram
Back
Top Bottom