Ningependa kujua Ada ya Shule hizi za Sekondari

Hii Canossa hapa Tegeta Primary tu inazidi 10M. Sasa sijui Secondary itasoma ngapi...
Okay nashukuru sana kwa taarifa mkuu. Nitaendelea kufuatilia mpaka nitapata size yangu yenye ufundishaji/elimu bora.

Asante sana!
 
Shule nzuri sana hizi..hakika mzazi au binti anayesoma hizo shule anajivunia.

Anyway elimu bora ndio msingi..achana na hizi shule za bora elimu..ila mtoto kilaza..ili asihoji wanapoiba kura waziwazi.

#MaendeleoHayanaChama
 
Shule nzuri sana hizi..hakika mzazi au binti anayesoma hizo shule anajivunia.

Anyway elimu bora ndio msingi..achana na hizi shule za ccm za bora elimu..ila mtoto kilaza..ili asihoji wanapoiba kura waziwazi.

#MaendeleoHayanaChama
Asante sana kwa kunitia moyo mkuu jiwe angavu

Mimi nilisoma shule ya tarafa (kabla ya shule za kata) na nilikuwa first intake. Pamoja na kupambana na nikafaulu vizuri sana kidato cha nne lakini ninajua weakness ya shule hizi!
Kama mzazi una uwezo basi huna budi kuwapa vijana elimu bora kutoka kwenye mazingira mazuri.
 
Umeandika kwa Hekima Sana, hii struggle ya kutafuta shule inaonekana unaifahamu vizuri sana. Natamani kila mwenye mipango ya kutafuta shule apitie hili jibu lako.
 
Wazazi, mida wa kuwatafutia shule vijana wetu kwa ajili ya kidato cha kwanza 2024 ndiyo huu. Naomba tuendelee kupeana taarifa ya wapi form zao zinapatikana!
 
Nina uzoefu na shule mbili tu hapo, Precious blood na Mazinde juu tu
 
Nina uzoefu na shule mbili tu hapo, Precious blood na Mazinde juu tu
Asante sana. Interview zake na ada zake zikoje? Form zinaanza kutoka lini na zinapatikana wapi?
 
hongera inaonekana una toto wa kike, vip akiba ya kuuza ubuyu imetosheleza kumpeleka huko
 
Nipo kwenye harakati za kufanya interviews za kujiunga na shule hizi na binti yangu, mpaka sasa majibu yashatoka kwa shule mbili, moja kashapata na nyingine kakosa na tunaendelea na interviews ili baadaye achague kwa zile atakazopata.

Tukifikia mwisho nitaleta mrejesho wa struggle hii ya kutafuta shule ili iweze kumsaidia mzazi mwingine atakayepitia uzi huu.

Asanteni.

Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
 
Aina nyingine ya "MIKOPO KAUSHA DAMU"

Kama kipato chako Cha wastani chamoto utakiona for another 4 coming years
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…