Rebeca 83
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 15,136
- 32,268
Mwalimu wa secondary au chuo anapewa laptop.
bundle atanunua mwenyewe,😀😉
ili wakae up to date na masomo wanayofundisha,
sio kufundisha kwa syllabus ya mwaka 47,
walimu wakiwa na laptop,wakajua ulimwengu unavyokwenda,wataweza kushauri nini kibadilishwe kwenye syllabus,na kushauri nini kiongezwe ama kipunguzwe kwenye masomo so that shule iibuwe wasomi competent wanaoenda na wakati atii....
bundle atanunua mwenyewe,😀😉
ili wakae up to date na masomo wanayofundisha,
sio kufundisha kwa syllabus ya mwaka 47,
walimu wakiwa na laptop,wakajua ulimwengu unavyokwenda,wataweza kushauri nini kibadilishwe kwenye syllabus,na kushauri nini kiongezwe ama kipunguzwe kwenye masomo so that shule iibuwe wasomi competent wanaoenda na wakati atii....