Ningeweza kupandisha uchumi wa Tanzania kwa kuwekeza katika bidhaa mpya zenye thamani kwa sasa duniani

ila zungu kawaaibisha sana ngozi nyeupe, sio siri. nilifikiri wote huwa wa maana hadi nilikuwa natamani siku moja tujaribishe urais ngozi nyeupe hizi.
Yule sio ngozi nyeupe aisee, Ile ni mwarabu reject ikawa Mpemba reject ndio umeishia kuwa mwarabu wa ilala.
 
Yule sio ngozi nyeupe aisee, Ile ni mwarabu reject ikawa Mpemba reject ndio umeishia kuwa mwarabu wa ilala.
ukimwangalia ni zaidi ya mwarabu, anaonekana sura ya Waajemi (rostamz, wairan fulani fulani wale waliokuja na mashua bagamoyo kipindi kileee?)
 
ukimwangalia ni zaidi ya mwarabu, anaonekana sura ya Waajemi (rostamz, wairan fulani fulani wale waliokuja na mashua bagamoyo kipindi kileee?)
Mwarabu Koko tu atakuwa kaongezea mkorogo πŸ˜ƒ
 
Upigaji, ufisadi, unyonyaji
Vikikomeshwa hivyo mbona easy hayo mambo mkuu. Na hakuna njia mbadala ya kuvikomesha zaidi ya katiba mpya.

Kwasasa viongozi wanaangalia zaidi nafasi zao na mbaya zaidi hizo nafasi zinalindwa kwa minajili ya kumfurahisha mtu 1 tu.

Sasa kama mtu yeye kutwa kucha anawaza nifanyaje raisi afurahi na sio njia zitazofanya wananchi na raisi wote wawe njia moja si ushubwada huu.

Mawazo haya labda wanayo ila kuyatekeleza ndo inshuu sasa.
 
Tatizo sisi hua kila kitu tunalalmikia serikali, we are lazy! yaaani hata swala la kua mbunifu unasema serikali iweke mazingira sasa sisi tuna faida gan? unazaliwa unasoma bure, unapewa mkopo na kazi unatafutiwa na serikali?
Ni rahisi kuwatupia Wananchi mzigo kwa sababu hata ninyi wenye Mamlaka hamjui cha kufanya.

Hivi unajua ubunifu una gharama kabla kuwa bidhaa ya kuuza? na tena kuna gharama zenye nafasi kubwa ya kupotea bila ubunifu kufikia matarajio.

Ndio yanahitajika mazingira wezeshi na ni Serikali pekee wenye nafasi hiyo, taasisi binafsi zaweza kuwepo lakini kwao ni uchaguzi zaidi ukilinganisha kama kungekuwa na sera nzuri za Serikali kuthamini ubunifu na Wabunifu.

Si rahisi kujua hili kama sio sehemu ya Wabunifu/Wagunduzi.

Mtu/Watu wanapobuni/kugundua kifaa au bidhaa yenye tija na uhitaji basi Mbunifu afikiwe na awezeshwe ili aboreshe kifaa/bidhaa husika...ndivyo wanavyofanya wenzetu hizi bidhaa tunazoziona zinafurika huku.

Ukiangalia Wenzetu huko nje Mtu anayetengenza kifaa uwani kwake bado utastaajabu mashine na malighafi alizonazo ambazo kiukweli Mtanzania wa kawaida ni vigumu kuwa navyo hata kama ana wazo linalofanania hivyohivyo.
 
Yaani ndugu yangu, tatizo ni naloliona ni Tz.kuendelea kuamini na kuweka siasa na mawazo ya siasa za ujamaa/kikomunisti kwenye karibu mambo yote, ambayo ni ya msingi ya kuwezesha maendeleo ya kiuchumi na kijamii kwa nchi yoyote ktk ulimwengu wa leo, pamoja na kwamba tuna resources nyingi ambazo zingetuwezesha tuwe tumepiga hatua kubwa ya maendeleo.......... bado naona tuna safari ndefu....
Kwani sisi gesi hatuna? Nilicho sema kwenye jibu langu la msingi Ni kwamba hawana resources nyingi Kama sisi,Kama wao wameweza kuuza nchi za ulaya je sisi tumeshindwa vipi kuziuzia nchi za ulaya Kama wao?
I
 
Mkuu umegusia suala la Neo-colonialism moja ya njia ya wazungu kuweka mfumo huo wa ukoloni maomboleo ni kutumia wawekezaji Sasa katika jibu lako la msingi umegusia suala la wawekezaji je,hapa unawalenga wawekezaji gani kutoka nje au wa ndani?
 
Mkuu kwanza kongole kujenga hoja uku ukichukua sekta ya utalii Kama mfano,Nakubaliana na wewe kusuhu natural resources kwamba Tanzania sio tajiri Kama ambavyo watu wanaaminishwa na Wanasiasa uchwara na wasio na maono kuhusu dunia na namna inavyo kwenda katika mabadiliko mbalimbali ya kiuchumi,kisiasa, kijamii na teknolojia.

Licha kwamba tunazo natural resources ila nchi imekosa viongozi imara ambao wanaweza kuweka sera imara ya matumizi ya natural resources zilizopo kuleta mabadiliko ya kiuchumi katika nchi ni aibu nchi kila mwaka kupitisha bakuri kwa nchi wahisani taifa la kutegemea misaada haliwezi piga katika maendeleo kwa sababu ya utegemezi tujifunze basi Kama taifa toka kwa Botswana mbona Wana proper utilization of natural resources licha ni kidogo ukilinganisha na Tanzania na wamepiga hatua nzuri katika maendeleo.
 
Tatizo sisi hua kila kitu tunalalmikia serikali, we are lazy! yaaani hata swala la kua mbunifu unasema serikali iweke mazingira sasa sisi tuna faida gan? unazaliwa unasoma bure, unapewa mkopo na kazi unatafutiwa na serikali?
HiVi unadhani hakuna bunifu nzuri kwenye hii nchii .... Kunabunifu za kipekee na kama zitatiliwa mkazo basi hii nchi ingekuwa mbali Sana tatizo siasa kila mahali pia secta binafsi azipewi kipaombele hii nchi kila kitu ni serikali serikali...hii inasababisha mambo mengi na bunifu nyingi nzuri kukwama.
 
Mkuu Mimi naona ujamaa hauna madhara makubwa Sana Kama kutowajibika, kutowajibika ndo chanzo kikubwa Cha matatizo katika nchi mfano Kuna muda bunge lilikuwa katika mjadala muhimu wa bajeti ya nchi ila wabunge Kuna muda walikuwa wanaacha kujadili bajeti na kuanza kumjadili Mbowe Mpaka ilifika muda Rais kuwaambia waache kudemka wajadili mambo ya msingi je suala hili la wabunge lilichangiwa na ujamaa?
 
Tatizo sisi hua kila kitu tunalalmikia serikali, we are lazy! yaaani hata swala la kua mbunifu unasema serikali iweke mazingira sasa sisi tuna faida gan? unazaliwa unasoma bure, unapewa mkopo na kazi unatafutiwa na serikali?
Serikal ndo inapanga kila kitu bila serikal vitu alivyoo vitaja hapoo juu kutoboa ni ndoto
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Serikal ndo inapanga kila kitu bila serikal vitu alivyoo vitaja hapoo juu kutoboa ni ndoto
Ndio maana nimesema ningeweza, nimetumia nafsi ya kwanza umoja. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…