Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 7,899
- 10,415
Kama kichwa cha bandiko hili kinavyojieleza kwamba.
"Ningeweza kupandisha uchumi wa Tanzania kwa kuwekeza katika bidhaa mpya zenye thamani kwa sasa duniani".
Ndugu zangu,
Naomba nianze kwa kueleza sababu moja inayofanya Gross Domestic Product per capital yetu kuwa ndogo.
Gross Domestic Product (GDP) yetu per capital ni ndogo mnoo na hii ni kwasababu hatuzalishi bidhaa mpya ambazo zina thamani kwasasa bado tupo na bidhaa za zamani zilezile.
Hebu Tujiongeze tuanze kuzalisha bidhaa mpya ambazo zinahitajika na mataifa mbalimbali hizi ndio zenye thamani kubwa kwa sasa.
Tuzalishe bidhaa zifuatazo
1. Natural Gas, LNG:
2. Kemikali: Kemikali zinazotokana na gesi mfano ammonia, Sulphuric acid, mbolea mbalimbali, methanol, n.k:
3. Gesi ya Helium. Hii gesi ina dili kuliko gesi zote duniani kwasasa.
4. Madini ya Lithium kwaajili ya betri za magari ya umeme.
5. Madini ya Nickel
6. Madini Cobalt
7. Madini ya platinum
8. Madini ya Chromium
9. Madini ya Manganes
10. Madini ya Copper
11. Nishati ya umeme (tuzalishe nishati kwa wingi tuwezavyo tuuze kwenye mataifa mbalimbali).
Tukiuza bidhaa hizo zenye thamani tutapata fedha nyingi zitakuza GDP yetu, mwishowe tutajikuta tunaacha kutoza kodi. Lakini hatuwezi kuacha kutoza kodi kwasasa kwasababu hatuna vyanzo mbadala vya mapato ya uhakika ya kuaminika ambayo yanaweza kufinance miradi yetu ya maendeleo na huduma za jamii katika taifa letu.
Hivyo tuweke mikakati huko kwenye bidhaa mpya. Lakini ili kulifanikisha hilo rasilimali watu ndio nyenzo muhimu kwenye kuzalisha hizo bidha mpya.
Tuna wataalam wa madini, wataalam wa mafuta na gesi tuwatumie ili kuwezesha uchumi wetu. Leo tunakimbizana na kodi za miamala ya simu ni kwasababu hatuna uwezo wa kuzigeuza rasilimali zetu kuwa pesa. Tuna madini, tuna gesi ya kawaida, tuna helium tunakwama wapi. Lazima tuwe serious tukitaka kufikia uchumi tunaoutaka ni lazima tuwekeze kwenye rasilimali zetu za asili na rasilimali watu.
Karibuni kwa maoni.
Je, wewe ungefanyaje?
"Ningeweza kupandisha uchumi wa Tanzania kwa kuwekeza katika bidhaa mpya zenye thamani kwa sasa duniani".
Ndugu zangu,
Naomba nianze kwa kueleza sababu moja inayofanya Gross Domestic Product per capital yetu kuwa ndogo.
Gross Domestic Product (GDP) yetu per capital ni ndogo mnoo na hii ni kwasababu hatuzalishi bidhaa mpya ambazo zina thamani kwasasa bado tupo na bidhaa za zamani zilezile.
Hebu Tujiongeze tuanze kuzalisha bidhaa mpya ambazo zinahitajika na mataifa mbalimbali hizi ndio zenye thamani kubwa kwa sasa.
Tuzalishe bidhaa zifuatazo
1. Natural Gas, LNG:
2. Kemikali: Kemikali zinazotokana na gesi mfano ammonia, Sulphuric acid, mbolea mbalimbali, methanol, n.k:
3. Gesi ya Helium. Hii gesi ina dili kuliko gesi zote duniani kwasasa.
4. Madini ya Lithium kwaajili ya betri za magari ya umeme.
5. Madini ya Nickel
6. Madini Cobalt
7. Madini ya platinum
8. Madini ya Chromium
9. Madini ya Manganes
10. Madini ya Copper
11. Nishati ya umeme (tuzalishe nishati kwa wingi tuwezavyo tuuze kwenye mataifa mbalimbali).
Tukiuza bidhaa hizo zenye thamani tutapata fedha nyingi zitakuza GDP yetu, mwishowe tutajikuta tunaacha kutoza kodi. Lakini hatuwezi kuacha kutoza kodi kwasasa kwasababu hatuna vyanzo mbadala vya mapato ya uhakika ya kuaminika ambayo yanaweza kufinance miradi yetu ya maendeleo na huduma za jamii katika taifa letu.
Hivyo tuweke mikakati huko kwenye bidhaa mpya. Lakini ili kulifanikisha hilo rasilimali watu ndio nyenzo muhimu kwenye kuzalisha hizo bidha mpya.
Tuna wataalam wa madini, wataalam wa mafuta na gesi tuwatumie ili kuwezesha uchumi wetu. Leo tunakimbizana na kodi za miamala ya simu ni kwasababu hatuna uwezo wa kuzigeuza rasilimali zetu kuwa pesa. Tuna madini, tuna gesi ya kawaida, tuna helium tunakwama wapi. Lazima tuwe serious tukitaka kufikia uchumi tunaoutaka ni lazima tuwekeze kwenye rasilimali zetu za asili na rasilimali watu.
Karibuni kwa maoni.
Je, wewe ungefanyaje?