Nini ambacho uliwahi fanya/kutofanya katika mapenzi/mahusiano, na huwa unatamani muda urudi nyuma ili ukirekebishe?

Nini ambacho uliwahi fanya/kutofanya katika mapenzi/mahusiano, na huwa unatamani muda urudi nyuma ili ukirekebishe?

Wewe jamaa una utoto mwingi sana hukustahili hata kuingia kwenye ndoa. Yani una ule utoto wa matineja kuulizia demu wako alitolewa bikra na nani? Koma. Umia mpaka ufe.
Mimi nilimuuliza dem wangu aisee alinitajia ni ndgu yangu kabisa hadi leo sina Amani ndani ya moyo wangu nilikuwa nampenda sana ili nimuoe baaada ya kumuuliza hivyo na kuniambia ukweli basi mimi hap hapo moyo ukasinyaaa yani najuta sana.
 
Masikini mke wako. Yani anajitahidi kuwa wife material kichizi, anafanya part yake vizuri. Jamaa unamuenjoy tu eti. Huyu dada ana maumivu sana mkuu na siku utakuja mkuta mfu. Na ww ndo utakua umesababisha. Why marry her in the first place.

Nachoona mpe mali mke wako afu muache kwa usalama wa maisha yake na watoto wenu. Afu we endelea tu na huyo umpendae. Maana bible imeagiza mwanaume kumpenda mke wake. Wewe humpendi...hakuna ndoa hapo. We endelea na B tu mkuu. Ila chozi la mke halali kamwe halitakuacha salama. Ulikua na ugonjwa wa ngozi..saivi kitakachokupata utahadithia mizimu ya babu zako. Chozi la mke ni baya sana mkuu.
#usisemesikusema#
 
Nilifanya kosa kubwa sana kutokumuoa yule mdigo wangu jamani...yule mrembo anajua kugegedana haswa
 
Mimi nilimuuliza dem wangu aisee alinitajia ni ndgu yangu kabisa hadi leo sina Amani ndani ya moyo wangu nilikuwa nampenda sana ili nimuoe baaada ya kumuuliza hivyo na kuniambia ukweli basi mimi hap hapo moyo ukasinyaaa yani najuta sana.
Mnauliza uliza ili iweje. Mimi niliwahi kutana na manzi nilikuwa najua jina lake analotumia kwenye group la WhatsApp (username). Tulikutana group. Sikuwahi muuliza jina lake la ukweli mpaka tukaja kuachana. Ùsije muuliza hata jina ukakuta ni mtoto wa babako wa nje.
 
Ila chozi la mke halali kamwe halitakuacha salama. Ulikua na ugonjwa wa ngozi..saivi kitakachokupata utahadithia mizimu ya babu zako. Chozi la mke ni baya sana mkuu.
Acha Uoga kijana,,,,, hayo Machozi yalifanya kazi kwa Wake wa miaka hio waliokuwa wanaolewa bado wana Bikira zao...

Na sio Machozi ya hawa ambao anaolewa mileage yake imesoma zaidi ya Fiat 666NM-RE la 1962,,,, na ana historia ya Wanaume wanaoweza jaza Bus la Azam..
 
Hukujiamin mwanzo caz ya ugonjwa wako na ufinyu wa kipato chako...Mungu alikuepusha katka janga la kumtongoza...kwan asingekukubali na pengine ungejiua kwa kipind hicho....Rudi kwa mkeo muombe msamaha maisha yaendelee...2 kids sio mchezo mkuu...huyo B wako ni malaya tu na kwa sasa anatapatapa...utoke kwa msanii, boda boda yan hana dira tena anaonekana ni cheap kwa vitu vidogo na mshamba wa kutupwa...
 
The day you need a wife ,The market is filled with mad people
 
Back
Top Bottom