Deo Corleone
JF-Expert Member
- Jun 29, 2011
- 17,006
- 13,281
Hahaha nimecheka sana,yani kuna vitu vingine watu wanaviongea unabaki kucheka tu....tunaambiwa ata kisiwa cha mbudya ni chake eti !
Kuna nchi za ulaya ukibahatika kuishi unaonekana utakuwa na wakati mgumu sana wewe bibie maana utakuta kuna show kubwa inafanyika kwa kiingilio kikubwa ukiingia humo unakuta mwanamuziki mwenyewe kawekewa kiti kabisa cha kukaa jukwaani hakuna mauno hapo na utashangaa show hiyo imevunja rekodi.
Achana na watu weupe kabisa hawa ndio wanajuwa muziki ni nini, mimi ukija nyumbani kwangu jumapili bila hata ya mimi sijakwambia lolote utapata ishara tu kama uko na mtu tofauti utakaposikia tu playlist yangu au afadhari naweza kuweka choice fm wale tunaongea lugha moja.
AY ni msanii mwenye mafanikio makubwa kuliko yoyote ukitoa jide ila hapendi kujisifia ni mkimya wala hapendi skendo.
Tatizo lenu mtu anayejionyesha ndio mnajua ana mafanikio .Mimi namfahanu sana AY ana mafanikio makubwa sana na show nyingi anapiga nje mfano show anazopiga Kenya na Uganda ata zinazidi Tz
Uwa apendi kujifagilia na kujionyesha kama wengine ni mkimya pia mfanyabiashara anewekeza Tz ata kenya pia
ay , banana, ali kiba ni wasanii niliowakubali sana ila wameniangusha sana.
hawana ubunifu kabisaaa
watabaki hivyo hvy hadi kumezwa na historia!
aombe collabo na diamond atatoka tu
mkuu ungesoma vizuri sentensi yangu ungenielewa,kuna neno fununu nimeliweka hapo mwweh!!
suala la kupanga kawaida sana wala sio kipimo cha maendeleo ya mtu, wasanii wangapi wanapanga bhana? bongo tu ndo nchi unayoweza kumiliki ardhi yako na kuifanyia utakavyo,nenda kwa wengine ndo utaona mziki..hata Christ brown, Jason darule, Balotelli, Di Maria wote hao wamepanga, namimi pia nimepanga vilevile japo Diamond na Ay hawanifikii kimkwanja.
Habadiliki, yaan ukiskiliza nyimbo zake zile zile, mf FA yeye anabadilika kidogo sana ila anajitahidi kutunga maneno ya kuguza, yaan maneno ya kwenye nyimbo zake ni matam, AY anatakiwa aache ile rap yake,
hahaha una sh. ngapi bank?
Ungekuwa unapoteza mda hapa JF?:A S wink::A S wink:
Unajua kuna jambo watu hawajalijua kuhusu diamond. Ikulu ilikuwa inamsapoti sana alikiba lakini alikiba aliridhika mapema. Sasa hivi ikulu inamsapoti diamond ki muziki. Diamond anapiga kelele nyingi, asubiri ikulu inayokuja mwaka huu kama atapewa support ki hiyo. Kila jambo na wakati wake awe makini tu. AY ana fanya la maana kufanya mambo yake personal kwa sababu anajielewa.
umeongea ujinga wa mwaka, eti ikulu kumsapoti daimondo. mara ikulu ilimsapoti kiba.
hv watu huwa mnasoma coments zenu kbl ya kupost ?!
We bado mdogo sana. Mjini mgeni mno na hujui chochote, tena mshamba mara mia. Huwezi kujua wala kuelewa nilichopost. Mjini ndiyo wananielewa coz data zipo